Kwanini sigara inasafirishwa kwa ulinzi mkali?

Kwanini sigara inasafirishwa kwa ulinzi mkali?

Suala la ulinzi ni fedha zako tu, hii Taasisi (Tanzania cigarette company) wanafanya business kwa faida. Hivyo wana pesa ya kulipia ulinzi na hiyo ndio desturi yao kuwa mzigo wao lazima uwe na escorting ya uhakika.
Even you, you can hire ten policimen for your home security.
 
Suala la ulinzi ni fedha zako tu, hii Taasisi (Tanzania cigarette company) wanafanya business kwa faida. Hivyo wana pesa ya kulipia ulinzi na hiyo ndio desturi yao kuwa mzigo wao lazima uwe na escorting ya uhakika.
Even you, you can hire ten policimen for your home security.

Zile box body zinakuwaga na sigara za bei nyingi na pesa mingi
 
Zinabeba mzigo wa pesa nyingi sana, box moja ya sigara inaweza kufikia hadi laki 8 na zikiibiwa ni fasta sana kupata mteja. Usafirishaji wake ni kama zile gari zinabeba pesa toka BOT, full escort
Wakuu kama heading inavosema kwa nn sigara wakati inasafirishwa inalindwa kwa ulinzi mkali
 
Suala la ulinzi ni fedha zako tu, hii Taasisi (Tanzania cigarette company) wanafanya business kwa faida. Hivyo wana pesa ya kulipia ulinzi na hiyo ndio desturi yao kuwa mzigo wao lazima uwe na escorting ya uhakika.
Even you, you can hire ten policimen for your home security.
Oooh mkuu nmekupata
 
Wakitekwa tutakufuatilia mleta Uzi...siyo bure
Mtakuwa mnanionea bure mkuu ,, mm nmeshangaa eti sigara inalindwa vile hapa coz wamepita hapa mtaan kwetu wakat wanasambaza sigara
 
Back
Top Bottom