Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuwa na pesa za wateja, huyo jamaa anakuwa na bidhaa pamoja na pesa za makusanyoWakuu kama heading inavosema kwa nn sigara wakati inasafirishwa inalindwa kwa ulinzi mkali
Suala la ulinzi ni fedha zako tu, hii Taasisi (Tanzania cigarette company) wanafanya business kwa faida. Hivyo wana pesa ya kulipia ulinzi na hiyo ndio desturi yao kuwa mzigo wao lazima uwe na escorting ya uhakika.
Even you, you can hire ten policimen for your home security.
Hahaha hapana. Ni hela.Zile box body zinakuwaga na sigara za bei nyingi na pesa mingi
Wakuu kama heading inavosema kwa nn sigara wakati inasafirishwa inalindwa kwa ulinzi mkali
Wakitekwa tutakufuatilia mleta Uzi...siyo bure
Oooh mkuu nmekupataSuala la ulinzi ni fedha zako tu, hii Taasisi (Tanzania cigarette company) wanafanya business kwa faida. Hivyo wana pesa ya kulipia ulinzi na hiyo ndio desturi yao kuwa mzigo wao lazima uwe na escorting ya uhakika.
Even you, you can hire ten policimen for your home security.
HaaaahaaahaaahWatakuja sema inakua ya thamani kubwa, we subiri tuu wavutaji waje.
Mtakuwa mnanionea bure mkuu ,, mm nmeshangaa eti sigara inalindwa vile hapa coz wamepita hapa mtaan kwetu wakat wanasambaza sigaraWakitekwa tutakufuatilia mleta Uzi...siyo bure
Oooh hapa sasa ndio nmeelewaMaduka ya sigara wanalipa baada ya matumizi (post paid) so wasambazaji wanachukua na pesa za mauzo