Kwanini siku hizi vyuoni wanawake mnatega mimba?

Kwanini siku hizi vyuoni wanawake mnatega mimba?

Mwana kondoo

Senior Member
Joined
May 21, 2017
Posts
180
Reaction score
177
Habari wakuu,

Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.

Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?

Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!

Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
 
da
Huna haja ya kulaumu sana piga moyo konde songa mbele watoto ni baraka Mungu atafungua njia zake maisha yatasonga....cha msingi ni kukubaliana na hali na umtie moyo huyo binti aitunze hiyo mimba sio kutoa mimba....kila la kheri baba kijacho
daaaaaah aya asante bana
 
Hahaha mkuu umeongea kwa uchungu sana kupata binadamu ambaye atakutegemea kila kitu before hujajipanga inaaumiza sana, anza kuandaa hela za matunzo tu sahv
 
Habari wakuu,

Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.

Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?

Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!

Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
Kwahiyo umepewa mimba?
 
Hahaha mkuu umeongea kwa uchungu sana kupata binadamu ambaye atakutegemea kila kitu before hujajipanga inaaumiza sana, anza kuandaa hela za matunzo tu sahv
daaaaaah nina uchungu sana mkuu maana sikupanga kupata majukumu mapema hivi
 
Yaani mlitegesheana ujue.. Hapo kwenye kutoa mimba ondoa hilo wazo kabisaa... Msihukumu kiumbe kisichokuwa na hatia sababu ya uzembe wenu...

Hata wewe ungeweza kuvaa kinga ka ulikuwa wajua wasichana wa chuo ni wataalam wa kutega mimba
 
Yaani mlitegesheana ujue.. Hapo kwenye kutoa mimba ondoa hilo wazo kabisaa... Msihukumu kiumbe kisichokuwa na hatia sababu ya uzembe wenu...

Hata wewe ungeweza kuvaa kinga ka ulikuwa wajua wasichana wa chuo ni wataalam wa kutega mimba
Huyu binti alikua hataki nitumie kinga kabisa
 
Back
Top Bottom