Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Nakumbuka zamani kidogo miaka ya 2005 kurudi nyuma disko zilikuwa zimechangamka sana, kipindi hicho ijumaa pamejaa, jumamosi pamejaa, jumapili ndo panajaa mno.
Nashangaa sana siku hizi vijana hawanaga time na hii starehe adimu, vijana wapo bize na smart phones, muvi na ma sub woofer.
Nashangaa sana siku hizi vijana hawanaga time na hii starehe adimu, vijana wapo bize na smart phones, muvi na ma sub woofer.