Kwanini Simba haifanyi parade la makombe yao makubwa mawili?

Kwanini Simba haifanyi parade la makombe yao makubwa mawili?

Hivi kati ya Kombe la Muungano na lile la Ligi kuu ya Tanganyika, lipi kubwa mpaka viongozi wetu washindwe kutuhamasisha sisi mashabiki na wachezaji kufanya gwaride la heshima?

Kama vipi Mangungu na Try Again watuachie timu yetu! Jambo hili halikubaliki hata kidogo. 😩
 
Hivi kati ya Kombe la Muungano na lile la Ligi kuu ya Tanganyika, lipi kubwa mpaka viongozi wetu washindwe kutuhamasisha sisi mashabiki na wachezaji kufanya gwaride la heshima?

Kama vipi Mangungu na Try Again watuachie timu yetu! Jambo hili halikubaliki hata kidogo. 😩
Kombe la muungano limekabidhiwa na rais wa nchi ni kubwa mno!
 
Tulifanya mbona tilipotoka kubebb ubingwa ule mwaka tukatumia kirikuu kikubwa kikubwa!
Haitoshi msimu huu Simba imekuwa na pafomansi kubwa
1.Ngao ya jamii
2.kombe kubwa la muungano
 
1716900740213.png
 
Ngao ya jamii ushindi ulikuwa wa penart hivyo haikutoa hamasa. Kuhusu muuangano watani wao hawakuwepo kwenye michuano hivyo kufanya wajione kama wameokota kombe. Hapakuwa na sababu ya shamrashamra
 
Back
Top Bottom