MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Tanzania kila mtu amekuwa chawa. kwani ni lazima simba kumuwish birthday Mheshimiwa JK? Vijana uchawa uchawa tu kila mahali.View attachment 3120482
Hii timu inaendeshwa kihuni sana, hivi kaka taasisi muhimu na nyeti, unaachaje kutoa salamu za pongezi kwa kiongozi mkuu mstaafu? Tena mwanamichezo na mtu muhimu kwenye soka la Tanzania?
Bado haitoshi, Rais wa shirikisho la vilabu Afrika maana yake pia ni Rais wa 5imba ameenda Ulaya kushiriki katika mkutano na shirikisho la vilabu barani ulaya, yote hii ni katika kusaidia soka la Afrika na kuzipambania timu za Afrika, kama ilivyokuwa Yanga enzi za kupambania uhuru wa Afrika, Cha kushangaza hili nalo hawalioni?
Wenye akili huko Utopoloni ni wawili tuView attachment 3120482
Hii timu inaendeshwa kihuni sana, hivi kaka taasisi muhimu na nyeti, unaachaje kutoa salamu za pongezi kwa kiongozi mkuu mstaafu? Tena mwanamichezo na mtu muhimu kwenye soka la Tanzania?
Bado haitoshi, Rais wa shirikisho la vilabu Afrika maana yake pia ni Rais wa 5imba ameenda Ulaya kushiriki katika mkutano na shirikisho la vilabu barani ulaya, yote hii ni katika kusaidia soka la Afrika na kuzipambania timu za Afrika, kama ilivyokuwa Yanga enzi za kupambania uhuru wa Afrika, Cha kushangaza hili nalo hawalioni?
Wakati goli la Yanga zidi ya Mamelod linakataliwa uongozi wa Simba ulikuwa busy kussupport kwamba lile halikuwa goli uku viongozi wakiwa wamevaa kabisa jezi za Ubuntu Botho .Wakati simba timu inayotoka nchini kwake inafanyiwa vitendo vya kishenzi na al ahly tripoli kule libya huyo msengerema hersi said yeye kama rais wa klabu africa hakuwahi kupost sehemu yoyote,kukemea wala kulaani udhalili aliofanyiwa simba na kama haitoshi kule kenya akiwa na rais wa caf bado hakuongea chochote mpaka mwandishi wa kenya akaamua kuisemea simba na huyo msengerema hersi yupo hapo hapo.
Mkuu mashabiki wa Yanga hasa humu mitandaoni wana tabia na ushabikiWakati simba timu inayotoka nchini kwake inafanyiwa vitendo vya kishenzi na al ahly tripoli kule libya huyo msengerema hersi said yeye kama rais wa klabu africa hakuwahi kupost sehemu yoyote,kukemea wala kulaani udhalili aliofanyiwa simba na kama haitoshi kule kenya akiwa na rais wa caf bado hakuongea chochote mpaka mwandishi wa kenya akaamua kuisemea simba na huyo msengerema hersi yupo hapo hapo.
Mzee, bado unasherehekeaga birthday? Hongera lakiniKwanini Simba hawajampost Rais wa shirikisho la vilabu Afrika wala pongezi kwa birthday ya Kikwete?
We'kundu' wa msimbazi akili ndogoHee kweli hamna akili...
💩Fc....
Ona huyu mwe'kundu' mwingine wa Msimbazi, haelewi hata maana ya ushabiki, umbumbumbu umetawala huko kolouizdadMkuu gonamwitu mashabiki wa Yanga hasa humu mitandaoni ni Matahira tu
Akiwemo huyu MwananchiOG na shoga yake Laban sijui wakoje yaani wana tabia na ushabiki wa kijinga jinga sana halafu ukizingatia ni Wanaume wanapitwa mpaka na wakina Nifah, Bantu Lady, Shaadeya.
Mashabiki wa Yanga mtandaoni hamna akiliOna huyu mwe'kundu' mwingine wa Msimbazi, haelewi hata maana ya ushabiki, umbumbumbu umetawala huko kolouizdad
Kwani huko aliko enda amepostiwa wapi?View attachment 3120482
Hivi taasisi muhimu na nyeti, inaachaje kutoa salamu za pongezi kwa kiongozi mkuu mstaafu? Tena mwanamichezo na mtu muhimu kwenye soka la Tanzania?
Bado haitoshi, Rais wa shirikisho la vilabu Afrika maana yake pia ni Rais wa Simba ameenda Ulaya kushiriki katika mkutano na shirikisho la vilabu barani ulaya, yote hii ni katika kusaidia soka la Afrika na kuzipambania timu za Afrika, kama ilivyokuwa Yanga enzi za kupambania uhuru wa Afrika, Cha kushangaza hili nalo hawalioni?
Pia wapo busy kwa masangoma kuloga gemu ya tar 19 Oktoba 2024.wanaishi slogan yao ya ubaya ubwela!