Kwanini Simba na Yanga zijiite SC wakati FC?

Tyrone Kaijage

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
1,617
Reaction score
3,405
Hivi huku kujitambulisha kwa Club zetu kubwa za michezo kama SC wakati unawaona ni FC , ili hali hatusikii sports zingine ndani yake kuna maana gani?
Au wana timu za Boxing, Netball, Basket ball etc ambazo hazijatambulishwa kwa Umma?
Mfano Twaha simba Dulla Yanga.

Laiti zingezingatia SC kama zinavyojieleza,hizi wiki zao zingekuwa sports weeks kama mini Olympics, na labda tungeweza kuwa tunaweka open vipaji vingi vya michezo zaidi.
Imagine wiki ina ratibiwa kwa Riadha,Boxing,Basketball.
 
Kwanini wewe unajiita Tyrone Kaijage badala ya Tyson Mwijage!?
 
logo ya yanga huioni ?
 
....Mkuu, wakati klabu hizi zimeanzishwa kulikuwa na michezo mingi zaidi ya soka, ndio maana zikaitwa SC.. Kulikuwa na timu za Netball, Ndondi na kadhalika.
 
Enzi za ukoloni miaka ya 1930s zilivozaliwa Young Africans na Sunderland (Simba) kulianzishwa pia michezo mingine ( Volleyball,Basket,net,tennis bio nknknk) sambamba na mpira wa miguu(soka)
Ndiyo sbb kuitwa SC (sports club)
Wengi ni kizazi new... XII Tz []
 
Yanga sports club(sc)- club ya michezo aina nyingi.ngumi,riadha n,k.
Simba football club(fc)-ni club ya soka tu.
 
Mpaka miaka ya 80 na 90 klabu ya Simba ilikuwa na kituo maalum cha mchezo wa ngumi chini ya mwalim Habib Kinyogoli.
Bondia maarufu Rashid Matumla ametokea hapo
 
Awali hizi team zilikuwa na michezo mingine nje ya mpira, kama boxing na netball. Kwa sasa naona michezo hiyo ilisha futika.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
hizi timu zilianzishwa zikiwa na michezo tofauti, kwa Simba walikuwa na timu ya ngumi, na michezo mingine ila kwa sababu soka ndio lilikuwa linaingiza hela nyingi michezo mingine wakaipuuzia
 
Hizi timu zilikua na michezo mbalimbali
Ni siku hizi tu

kulikua na netball, boxing, volleyball nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…