Nijue kiingereza kinisaidie nn google ndo nn kwaniHizi data mnazo google wakati hamjui kingereza vizuri zinawapoteza....
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Haha watu hawarlewi na hili watasema umegoogle na kiingereza hujuiNa hiyo i phone X haifikii ubora wa camera ya huawei yangu p20 Pro.
Juzi kuna bwana alikuwa anatupiga picha kwa iphone X yake si nikampa na huawei yangu anipigie pia kilichotokea ni kuwa aliweka iphone yake mfukoni akasema dah ngoja niepushe aibu kwa hii yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huawei kwenye camera ni watata sana, niliwaelewa sana walivyoanza kutumia camera za leica... I phone ni konki kwa security tuMkuu kama mm hio imenitokea hahahah, Jamaa aliweka iPhone yake mfukoni akaniambia tutumie ya kwako [emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ss ndo tunarudi kule kwa wapiga kelele wanajua majina simu tu na sifa wanazotajiana ila simu hawazijui
Huawei ni second large industry mzee iphone no3 ebu usiongee bwana
.halafuu simu hazina technology mpya ss hv labda camera tu
[emoji38]
[emoji38] bahati mabaya unaongea na introvert
Nasema nachokijua hautaki sikushikii fimbo tafuta chako uamini
Nna depression vp unataka kunisaidia kuubeba huu mzigo au
wakati xs max inatoka ilikuwa inacheza kwenye 3.6.wakati s9 plus imetoka ikiwa inacheza 2.4.Ni kweli mkuu... mfano iPhone Xs Max ambayo ilitoka pamoja na S9 bei zake ni tofauti mno.
Mfano Xs Max iliyotoka mwaka jana bei yake unanunua Galaxy S10 plus ya mwaka huu na chenji inabaki.
Mfano mimi nilinunua Galaxy S10 plus kwa 2.1M but leo hadi 1.2 M unapata ilhali Xs Max mpya hupati chini ya 2.3M
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta,HUAWEI MPKA SASA SJAPATA KUONA, PHONE ZAO NI KAMA ZIMEROOTIWA, YAANI UNAFANYA UNAVYOTAKA WW, ALAF PIA UNAPOKEA UPDATE HARAKA KULIKO SIM NYENGINE, CAMERA HAKUNA ANAEMFIKA, BATTERY [emoji367] UNASAHAU KAMA KUNA KUCHARG, HAZIHEAT KAMA IPHONE AU SAMSUNG, HAWA JAMAA NI NYOKO, View attachment 1300389View attachment 1300390
Sent using Jamii Forums mobile app
Swadakta,
Mimi nina simu 2
1.Huawei p20 pro na
2.Samsung S7 edge nimenunua juzi(btw naipendaga tu.
Hii S7 edge ukitumia kwa muda mrefu inapata moto kama pasi
Njoo kwa mzee mwenyewe p20 pro hata utumie 24hrs non stop hata kaumoto husikii.
Long live huawei, long live PRC
Sent using Jamii Forums mobile app
Na X tigi.
Kanunua s7 juzi juzi amesema, tayari hapo asilimia 90 ni refurbished simu ya 2016 sidhani kama samsung bado wanaiuza.Nimetumia S7 edge sikuwahi ona hilo tatizo so it depends...
Ila huwezi linganisha Huawei na Samsung
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanunua s7 juzi juzi amesema, tayari hapo asilimia 90 ni refurbished simu ya 2016 sidhani kama samsung bado wanaiuza.
Iphone nyingi sasa zinafail fingerprint, wamezichakachua nyingi sana now
Sent using Jamii Forums mobile app