Kwanini sisi waafrika pekee tuna rangi nyeusi tii, tofauti kabisa na binadamu wa mabara mengine?

mimi sijaamini kwamba ni mbaya ila weupe (wazungu) ndo wanaiona ni mbaya ndo maana wanatubagua na kutuita nyani, na wakaenda mbali zaidi na kusema sisi na uzao wa shetani.
Acha kujifarini bhana nywele zenyewe kipili pili halafu unasema wazungu ndio wana dharau?
 
Uongo huu
 
Mwili uliozikwa miaka mingi unawezaje kuugundua km ulikiwa wa mtu mweusi hali ya kuwa umebaki mifupa tupu?
 
vipi kabla ya kuletewa din maendeleo yetu yalikuaje kulinganisha na hao wenye dini zao ?
 
Na inakuwaje hata kuandika ilikuwa shida ? Kusoma nako ? Tuache kujifariji kuna sehemu tumekosea
Wasomi nao wa Leo ndio hawa akina kabudi sijui tutafika lini tukawa na chetu?
 
Inafikirisha, baadae nitakaa nisome kwa utulivu
 
mkuu kuna kitu hapa ndo naanza kukiskia kwako kwa mara ya kwanza kwamba "hata sisi tumewahi kuwatawala ila ilifichwa kwa kuogopa aibu" je ni kweli ulisemalo ? waweza nambia labda ni kipindi gani ama karne gani tuliwahi kuwatawala wazungu ?
Kipindi Cha Musa na farao Wana wa Israel walitawaliwa na misri
 
Hata huyo yesu mwenyewe ni mweusi,Hata Ayubu,Mfalme suleiman tena anasisitiza kwamba "mimi ni mweusi mweusi lakini ni mzuri enyi mabinti wa misri,!Hata Israel ni jamii ya watu weusi KWA weupe!

Hivyo tu!
 
أنت صحيح بالمرة
 
Wale wahindi weusi ni tofauti kabisa na black Africans.

Nywele zao tofauti na waafrika.
Hata huko guinea papua nywele tofauti na zetu za kibantu.
 
Hata huyo yesu mwenyewe ni mweusi,Hata Ayubu,Mfalme suleiman tena anasisitiza kwamba "mimi ni mweusi mweusi lakini ni mzuri enyi mabinti wa misri,!Hata Israel ni jamii ya watu weusi KWA weupe!

Hivyo tu!
Uongo mtupu , weusi ni ngozi yenye taabu na iliyonyimwa akili, uliowataja hawawezi kuwa mfano wa ngozi hyo , fungu ulilolisema maana yake ipo Sawa Ila mantiki umepuyanga
 
Wanasema Africa ndio chanzo cha binadamu wote!
 
Hiyo sio kweli
mkuu kuna kitu hapa ndo naanza kukiskia kwako kwa mara ya kwanza kwamba "hata sisi tumewahi kuwatawala ila ilifichwa kwa kuogopa aibu" je ni kweli ulisemalo ? waweza nambia labda ni kipindi gani ama karne gani tuliwahi kuwatawala wazungu ?
 
Wahindi wekundu wa America sio weusi.
 
Umeongea kwa uchungu sana,
Inasikitisha sana.
 
Nani alikudanga mzungu ndiye weakest kwa human race??
Kapigane naye vita uone atakavyokunyoosha.
Mzungu angekuwa weakest kuwa human race asingetawala karibu pembe zote za dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…