BUCHANAGANDE
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,512
- 480
Kuangalia sio kuvutiwa, hata mie naangaliaga saana tu ila sinaga hufagio na hayo manundu..heheeemimi nachojua hawa wanawake wenye buster kubwa ni kivutio saana cha wanaume wengi maana kila kidume anataka aonje ili ajue ladha ya hiyo turbo v8 ukitaka kujua hili wee angalia mahali wapo group ya wanaume alafu apite demu aliyejazia huko nyuma utaona woote wanageuka kumwangalia hata kama kuna wababu hapo lazima nao wageuke kuangalia huo mzigo uliobwebwa. hii hali inawafanya waoaji wengi wana kufeel insecure kuwa na mwanamke wa dizain hiyo maana wanahisi wanaume wengine wanammendea.
Kinachoshangaza ni kile kilichozidi kawaida, kwa hili eidha wembamba sana au unene sana. Kwa hiyo kinachowageuza shingo wanaume shingo wakati mwanamke mnene anapita si uzuri wa unene huo bali unene kuliko kawaidamimi nachojua hawa wanawake wenye buster kubwa ni kivutio saana cha wanaume wengi maana kila kidume anataka aonje ili ajue ladha ya hiyo turbo v8 ukitaka kujua hili wee angalia mahali wapo group ya wanaume alafu apite demu aliyejazia huko nyuma utaona woote wanageuka kumwangalia hata kama kuna wababu hapo lazima nao wageuke kuangalia huo mzigo uliobwebwa. hii hali inawafanya waoaji wengi wana kufeel insecure kuwa na mwanamke wa dizain hiyo maana wanahisi wanaume wengine wanammendea.
Kinachoshangaza ni kile kilichozidi kawaida, kwa hili eidha wembamba sana au unene sana. Kwa hiyo kinachowageuza shingo wanaume shingo wakati mwanamke mnene anapita si uzuri wa unene huo bali unene kuliko kawaida
aaahahahahahaha...albanuni fil hayat duniya ndo nini mkuu?mimi nachojua hawa wanawake wenye buster kubwa ni kivutio saana cha wanaume wengi maana kila kidume anataka aonje ili ajue ladha ya hiyo turbo v8 ukitaka kujua hili wee angalia mahali wapo group ya wanaume alafu apite demu aliyejazia huko nyuma utaona woote wanageuka kumwangalia hata kama kuna wababu hapo lazima nao wageuke kuangalia huo mzigo uliobwebwa. hii hali inawafanya waoaji wengi kufeel insecure kuwa na mwanamke wa dizain hiyo maana wanahisi wanaume wengine wanammendea.
NB:
Wanawake wenye buster kubwa ndio wanaoongoza kuwa na ALBANUUN FILHAYAT DUNIA tamu ndogo na moto kuliko madem wembamba sasa hii ni kwa mujibu wa taarifa ya kiintelejensia zilizoto mtaani .
mnajidhalilisha. hivi unafikiri mwanaume gani utampa 0713 halafu akuoe?. sio wote wanene ambao hawaolewi, wanao jielewa wameolewa. mabonge wengi wavivu. unakuta ananawa miguu, mikono na uso kisha anaondoka bila hata kuoga sana sana atajipulizia manukato. acheni kujirahisisha. mabonge nmapenda kula ovyo ovyo, mahindi,karanga,papai, twist, parachichi, soda nk tena barabarani huku akitembea. mtu bonge nyama zimebebana kiasi kwamba akioga inabidi awe anainua nyama za tumbo na kusugua vingenevyo atanuka. mia
si kila wakati mnene anakuwa mzito.. Kuna tofauti kati ya unene na uzito.. Nikupe mfano wa gunia la ujazo mmoja la pamba na gunia la chumaKwani mtu mnene anaanzia kilo ngapi?
Kwani mtu mnene anaanzia kilo ngapi?
Binafsi siwataki kabisa warembo wanene wala sijawahi kuwa kwenye mahusiano na binti mnene.Labda nimeathirika na English figure ya mpenzi wangu wa kwanza kabisa.Kikubwa ni kwamba, wengi huamini warembo wanene wanapandisha pressure gafla sana kuliko wembamba.Nimeshuhudia jirani yangu alipogombana na wake, siku iliyofuata waliamkia Bugando hospital akiuguza lol!
si kila wakati mnene anakuwa mzito.. Kuna tofauti kati ya unene na uzito.. Nikupe mfano wa gunia la ujazo mmoja la pamba na gunia la chuma
80 and above.
80 and above.
Tetea hoja yako na wewe.
Yalikukuta?
Umbo kubwa kuliko kawaidaKwa uzoefu wako, ukiambiwa uelezee mtu mnene ni nani, wewe ungemuelezeeje?