Kwanini sisi wanawake/wasichana wanene na wenye makalio hatupati waume wa kutuoa?

Sio kweli! SI MNASEMAGA MWANAMKE TABIA NYIE??????????????? Afu hata portable wakizaa wanageuka hivi hivi! Hapo ndo wanaume wanachoka mwili na roho! Chezeya mchemsho wa kuku nyie.

Ndo mana waki-comment nawauliza maswali wanakimbia.

Wavute picha miaka 10 nyuma kabla wake zao hawajazaa, walikuwa na maumbo gani?
Tatizo wanaume wengi wanafata mkumbo, akianza mmoja kwenda against na mada, basi woote watakaofuatia watamsapoti wa awali, hata kama Ukweli anaujua.

Na nina uhakika wanaume waliokuja kusema kuwa hawawapendi wanawake wanene, ukienda majumbani mwao, ndio haohao wamewaweka ndani.
Ila hapa jukwaani hufuata mkumbo.
 
Wewe mwenyewe umeji-devalue

Kama unakuwa na mme wa mtu sababu wew ni reject kwa singles, basi utakuwa reject siku zote
Wenzako wanakuwa na wamme za watu kwa faida, wewe unakuwa nao kwa sababu ni reject? Really?
Labda una miaka mingapi?

Hii inahusiana na self esteem yako, ifanyie kazi kwanza
Ndio wanamme wengine watakuona.

Kama unahisi tatizo ni unene basi punguza kiasi fulani cha kg ili kuboresha self esteem.
 

Jamni, unene tunaouzungumzia ni ule wa wakati wa kuchagua, si miaka kumi toka kufunga ndoa... Huyu miaka kumu si nitakuwa nimemnenepesha mimi mwenyewe?
 
sure wananuka .1.wanatoa jasho muda wote.2.wanamanyamanyama na mikunjo hivyo hawawezi kuoga wakamaliza uchafu mwilini au kujifuta uchafu wote wamalizapo kuoga.i hate them.


Umekurupukia swali ambalo hujaulizwa wewe.
Anyway, huyo Mkeo/Mpenzi wako uliempata enzi hzo alikuwa mchafu, nawe pia ulikuwa mchafu ndo mana mkaendana.
 
wengi wanatumia makalio yao kama mtaji wa kunasa wanaume akili wanaziweka likizo. inapokuja kuhusu kuoa mwanaume nitaangalia pia na uwezo wako wa kufikiri kitu ambacho wenye mawowowo wengi huwa hawakitilii maanani... chunguza utaona
 
Kuna kitu katika baadhi ya watu wanene ambacho siwezi kukiweka straight.
Childish? Maruweruwe? Silly? Break zinamiss? Hii inatokana na movie lakini
Watu wanene sana wanapewa part ambazo brain zao zinakuwa 'funny'
Imefanya mtazamo wangu kwa watu wanene uwe kuwa wana 'funny brain'
Kama vichekesho tu

Labda umeathirika na hilo pia? Perception.
 



Sidhani kama tafiti yako umeifanya kwa usahihi!Unene unaouongelea wewe ni ule wa manyama uzembe au wa wastani? Most of African men including myself likes mwanamke mwenye bantu shape (Makalio ya kutosha).Ndiyo maana nasema tafiti yako inawalakini rudi chimbo tena ukajipange upya.
 
Jamni, unene tunaouzungumzia ni ule wa wakati wa kuchagua, si miaka kumi toka kufunga ndoa... Huyu miaka kumu si nitakuwa nimemnenepesha mimi mwenyewe?

Unene wa kuzaliwa na kurithi wote twaita unene.
Unene wa kumnenepesha na wangu wote twaita unene, lakini kwa nini useme mie hunitaki?
Ilhali mkeo umemnenepesha na kawa kama mimi?
 
Hapa tunachanganya mambo mengi sana
1.Unene
2.Ukubwa wa wowowo
3.Uzito
4. Makabila (wakurya mara wa pwani- lara 1)
5.Kabla au baada ya ndoa

Which is which?

Tunazungumzia mtu "obse"? manake mtu obese anaweza hata kuwa wa kilo 60 inategemea urefu na uzito wake ambao unadetermine BMI. Sasa mtu anaweza kuwa na kilo 80 na sio obese ni healthy. na wembamba tunaozungumzia ni upi?

hebu mtu atuwekee tupicha au kama vipi tupelekane kule jukwaa la chini tusaminishe wka picha

CC Kongosho
 
Last edited by a moderator:
hujawahi kutongoza demu mnene?Na je, ina maana hakuwa wanawake wembamba wasiotoa harufu?.
sio wanawake wote wanene wanatoa harufu. na sio wanene wote wana tabia mbaya. kuolewa ni majaliwa mbona hata wembamba wanafanywa vimada na hawaolewi? lakini tabia njema ndo siraha. heshimu watu wote na ongea na watu wote. tatizo la watu wanene wanajiona ndio wazuri peke yao au ndio wanatakiwa wawe na mtu mwenye hela, kumbe hela yatafutwa. cheka na watu uvae viatu. Be simple. mia
 
"ajikwezae hushushwa na ajishushaye hukwezwa" weng wenu mnapenda kuonekana mko juu hasa ktk matumiz ya pesa. let say umepata boyfrend cku ya1 mkapnga mkutan anakupigia cm upande daladala ushke kituo flan, unamjib,siwez kupanda daladala, nachukua tax
 

yes madam. huwa wana kauvivu fulani hawa watu. ni wavivu kushughulisha miili yao pia ni wavivu kushughulisha akili zao.. hence wanaakti silly hata kwenye siriaz mataz
 
wanaume wanawaogopa nyie mnatamaniwa sana alafu watu wengi sana wanawashawishi kitu ambacho sio kizuri kwa ndoa
 
Hujagundua wewe?

For Promo Only-sosi king kong


Wamme za watu mnakaribishwa na saplaya mpya wa turbo

cc watu8

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…