Kwanini siumii na sitoumia Chama akiachwa Simba SC? Hajafikia hata 35% ya Uwezo mkubwa aliokuwa nao Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino'

Kwanini siumii na sitoumia Chama akiachwa Simba SC? Hajafikia hata 35% ya Uwezo mkubwa aliokuwa nao Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino'

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kama fundi hasa wa mpira sehemu ya Midfield Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' aliondoka Simba SC yetu na kwenda Yanga SC na wala sikuumia japo wana Simba SC wote tulimpenda ndiyo itakuwa leo Mtu kama Chama ambaye hata tu Uwezo wa 35% ya aliokuwa nao Gaga hana akiondoka niumie?

Watoto wa leo JF ninawaambia kuwa hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji Kikubwa na Kuujua Mpira kama Gagarino.
 
Kama Fundi hasa wa Mpira sehemu ya Midfield Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' aliondoka Simba SC yetu na kwenda Yanga SC na wala Sikuumia japo wana Simba SC wote tulimpenda ndiyo itakuwa leo Mtu kama Chama ambaye hata tu Uwezo wa 35% ya aliokuwa nao Gaga hana akiondoka niumie?

Watoto wa Leo JF ninawaambia kuwa hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji Kikubwa na Kuujua Mpira kama Gagarino.
'
 
Kama fundi hasa wa mpira sehemu ya Midfield Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' aliondoka Simba SC yetu na kwenda Yanga SC na wala sikuumia japo wana Simba SC wote tulimpenda ndiyo itakuwa leo Mtu kama Chama ambaye hata tu Uwezo wa 35% ya aliokuwa nao Gaga hana akiondoka niumie?

Watoto wa leo JF ninawaambia kuwa hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji Kikubwa na Kuujua Mpira kama Gagarino.
inawezekana hamfikii lakini hiyo ni zamani,kwa sasa anayetamba ni chama
 
Kama fundi hasa wa mpira sehemu ya Midfield Marehemu Hamis Tobius Gaga 'Gagarino' aliondoka Simba SC yetu na kwenda Yanga SC na wala sikuumia japo wana Simba SC wote tulimpenda ndiyo itakuwa leo Mtu kama Chama ambaye hata tu Uwezo wa 35% ya aliokuwa nao Gaga hana akiondoka niumie?

Watoto wa leo JF ninawaambia kuwa hakuna Mchezaji aliyekuwa na Kipaji Kikubwa na Kuujua Mpira kama Gagarino.
Mnajipa moyo tu, hata hivyo Gagarino wa nini mwaka huu 2024. Kamsajili basi huyo Gagarino.
 
Basi nenda kamsajili huyo gagarino ,soka la wakati sio sawa na Leo tutolee utoto kwenye mambo ya msingi
 
Back
Top Bottom