ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Hiyo simu yako janja Kama sio watu kusoma logarithms usingeweza kuitumia.Mara hesabu za logarithm mara interagration vitu kibao ambavyo ukija kwenye kazi huku kuanzia za design za miradi na ujenzi wa uhandisi hukutani nazo yaani tunaua vipaji vingi sana ambavyo watu wange buni vitu.. Calculator zipo, excel zipo, format zipo, inputs zipo, akili zipo?
We mtu mwenye akili halafu anafeli physics tu au hesabu kisa mgumu wakati ana mazingira mazuri ya kuonyesha uwezo we huoni wazungu hivyo kwao hesabu sio ngumu.leo weekend tujiandae na nyuzi za kutosha kutoka kwako hapo vitu havijapanda vikipanda inakua hatariii🔥🔥🔥😂
Hakuna kitu kigumu hapo zaidi ya kichwa chako kuwa kigumu kuelewa au wewe kusoma hesabu katika mazingira magumu.Mara hesabu za logarithm mara interagration vitu kibao ambavyo ukija kwenye kazi huku kuanzia za design za miradi na ujenzi wa uhandisi hukutani nazo yaani tunaua vipaji vingi sana ambavyo watu wange buni vitu.. Calculator zipo, excel zipo, format zipo, inputs zipo, akili zipo?
kusoma hesabu katika mazingira magumu.Hakuna kitu kigumu hapo zaidi ya kichwa chako kuwa kigumu kuelewa au wewe kusoma hesabu katika mazingira magumu.
Unalalamikia ugumu wa hesabu wakati hesabu si ngumu, mazingira yako ndiyo magumu.
Hilo si tatizo la hesabu.kusoma hesabu katika mazingira magumu.
Watoto kibao vijijini Wana akili ila hawazi shule mazingira magumu wanawaza tu nyumbani...
Ni tatizo la nani au watunga syllabus? Kwa mfano mimi nimesoma najua hesabu zina errors nyingi kwenye ufanyaji na mfumo wetu mitihani ya mwisho kuamua hatma yako ya elimu.Hakuna kitu kigumu hapo zaidi ya kichwa chako kuwa kigumu kuelewa au wewe kusoma hesabu katika mazingira magumu.
Unalalamikia ugumu wa hesabu wakati hesabu si ngumu, mazingira yako ndiyo magumu.
Uko njwiii!Ni tatizo la nani au watunga syllabus? Kwa mfano mimi nimesoma najua hesabu zina errors nyingi kwenye ufanyaji na mfumo wetu mitihani ya mwisho kuamua hatma yako ya elimu. Inakuwa shida kuna watu watakuwa na uwezo mkubwa sana ila wataaanguka.. Na sasa tunasoma yote hayo lengo huwa nini kubuni vitu mbona kwetu Tanzania hakuna mambo hayo kwa kiasi kikubwa.
una hoja usipuuzweWe mtu mwenye akili halafu anafeli physics tu au hesabu kisa mgumu wakati ana mazingira mazuri ya kuonyesha uwezo we huoni wazungu hivyo kwao hesabu sio ngumu.
Kumbe hadiTANESCO ushafanya kazi lo weee ni mnoumaaaa narobotatu
Hizo hesabu ni muhim sana ukibahatika kusoma masters hasa kwenye decision making ya jambo loloteMara hesabu za logarithm mara interagration vitu kibao ambavyo ukija kwenye kazi huku kuanzia za design za miradi na ujenzi wa uhandisi hukutani nazo yaani tunaua vipaji vingi sana ambavyo watu wange buni vitu.
Calculator zipo, excel zipo, format zipo, inputs zipo, akili zipo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hisabati siyo rahisi, lazima ufike level flani ya IQ ndipo utaweza imudu vema.
Hakuna Taifa hata moja duniani ambalo wote wanaweza Hisabati, bali wateule kadhaa.
Kikubwa hakikisha unafahamu kujumlisha, kutoa, kuzidisha na kugawanya tarakimu.
Hayo mengine ya Algebra, Differential equations, Triple integral sijui Topology au Fourier series waachie wengine wahangaike nayo.