Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Wanahistoria naomba mnijuze. Vyanzo mbalimbali vinaonyesha wangoni waliingia kwa kuchelewa sana vita ikikaribia kuisha na wakajitoa fasta baada ya kugundua maji ni uongo.
Inaonekana centre ya vita ilikuwa maeneo ya mahenge kuelekea huko Lindi. Ikoje hii Songe kufanywa kama ilikuwa centre ya vita?
Inaonekana centre ya vita ilikuwa maeneo ya mahenge kuelekea huko Lindi. Ikoje hii Songe kufanywa kama ilikuwa centre ya vita?