Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Huwa nashangaa sana. Kila ninaponunua gari huwa nikiangalia spear tyre lazima nikute kidogoo!
Kwann wajapan wanatuwekea spear tyre huwa viduchu kuliko matairi halisi ya gari?
Maajabu sana.
Kwann wajapan wanatuwekea spear tyre huwa viduchu kuliko matairi halisi ya gari?
Maajabu sana.