Kwanini suala la bandari liko kwenye mitandao ya kijamii sana ila mitaani kuna Simba na Yanga?

Kwanini suala la bandari liko kwenye mitandao ya kijamii sana ila mitaani kuna Simba na Yanga?

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Sisi social workers hufanya observation nyingi za kijamii interaction na raia wengi inatupa fursa kujua mijadala yao ya moto na wanacho waza wakati huo.

Nilichoona mitaa mingi mijadala ni ya mipira hasa Simba na Yanga, maisha ya ndoa na biashara, wakati kuna isssue inayo trend sana twitter, Facebook na JF ya bandari kupewa wawekezaji wa DP World ukiingia twitter unaweza ukadhani Nchi nzima kuna fire, kumbe ni tofauti watu hawana hili au lile 95% ya raia hawajalipa mda kabisa kufuatilia hilo wana amini wa bunge wao kuwakilisha ipasavyo.

Hii inaleta taswira gani katika jamii yetu kwamba kuna % ndogo ya elites wanao wakilisha mawazo ya jamii yetu au ni masilahi binafsi au kuna wachochezi. Raisi alikua Mwanza amepokelewa kwa shangwe bila bango lolote la kumkosoa kwa bandari ubinafsishwa.
 
Na huo ndo mtaji wa serikali UJINGA UJINGA UJINGA ccm milele
Mkuu unataka kuseme kati ya raia 65, ni raia tu laki nane wanao tumia mitandao ya kijamii ndo wenye elimu na mwamko?
 
Mkuu unataka kuseme kati ya raia 65, ni raia tu laki nane wanao tumia mitandao ya kijamii ndo wenye elimu na mwamko?
Huo ni ukweli na ndio maana ukifanya research ya juu juu, ccm hua inapata upinzani saana kwenye majiji.. kwann ??... kwasababu hao ndo wenye access yakupata habari kirahisi kuliko rural areas.
 
Sisi social workers hufanya observation nyingi za kijamii interaction na raia wengi inatupa fursa kujua mijadala yao ya moto na wanacho waza wakati huo.

Nilichoona mitaa mingi mijadala ni ya mipira hasa Simba na Yanga, maisha ya ndoa na biashara, wakati kuna isssue inayo trend sana twitter, Facebook na JF ya bandari kupewa wawekezaji wa DP World ukiingia twitter unaweza ukadhani Nchi nzima kuna fire, kumbe ni tofauti watu hawana hili au lile 95% ya raia hawajalipa mda kabisa kufuatilia hilo wana amini wa bunge wao kuwakilisha ipasavyo.

Hii inaleta taswira gani katika jamii yetu kwamba kuna % ndogo ya elites wanao wakilisha mawazo ya jamii yetu au ni masilahi binafsi au kuna wachochezi. Raisi alikua Mwanza amepokelewa kwa shangwe bila bango lolote la kumkosoa kwa bandari ubinafsishwa.
ELIMU+ELIMU+ELIMU (7X70)
 
Redio zote wanapiga vipind vya michezo kutoma alfjari had saa sitaa HV Kweli tuko serious
 
Hiyo ndio furaha ya CCM!! In short kumtawala mjinga ni rahisi sana
 
Mahitaji ya binadamu ni mavazi kula na kulala akishapata hivyo matokeo yake ndio kama hayo
 
Tunapenda sana kujitoa n kuikosoa govt ttzo tutakufa mapema.
Heri tudeal na haya ya Simba na yanga yanatupa furaha sana.
 
Kwanza rudi nyumbani JKT hawapokei wachelewaji
 
Ndiomaana kuna umuhimu mkubwa wasisi watu wa mtandaoni kuhakikisha tunahamasisha na kuwaamsha watu wa mtaani waliolala

 
Kwanza rudi nyumbani JKT hawapokei wachelewaji
Mbona kasharudi tangu siku hiyo jioni anaendelea na ratiba zingine zenye manufa zaidi. Kihelehele cha kutii sheria ya wito ndo kilitumiza
 
Mbona kasharudi tangu siku hiyo jioni anaendelea na ratiba zingine zenye manufa zaidi. Kihelehele cha kutii sheria ya wito ndo kilitumiza
Mtoto hapaswi enda jeshi la wabakaji
 
Back
Top Bottom