Kwanini tabia hii ni kwa wanaume tu?

twenty2

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2011
Posts
296
Reaction score
32
Asilimia nyingi za wanaume wa jamii yetu hawawezi kuwasiliana au kumsaidi mtu wa jinsia tofauti bila kumtongoza,na kwanini tabia hii ipo kwa wavulana tu?na kwa nini ipo ivi?
 
asilimia nyingi za wanaume wa jamii yetu hawawezi kuwasiliana au kumsaidi mtu wa jinsia tofauti bila kumtongoza,na kwanini tabia hii ipo kwa wavulana tu?na kwa nini ipo ivi?

utafiti wako umeufanyia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…