matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Wakuu mnijuze.
Wamewahi uwepo mabilionea wengi Dunia I. Wakina Bil Gate, Carlos Slim, Warren Buffet, Suleiman maana wa Daudi etc
Ninachoshangaa huyu jamaa wanakuwa na ushawishi karibu katika Kila kitu Duniani.
SMO ya Urusi Ukraine yeye yuko na ndiye anayesikilizwa.
Mashariki ya kazi Yumo.
Uchaguzi Wa US anahusika pakubwa pia. Hata hapa kwetu TZ alipitapita na internet yake.
Wakati watu wote wanahamia Twita yeye kainunua na kubadilisha anavyotaka. Inaonekana akitaka kununua chochote hashindwi.
Huyu mwamba Ana nini cha tofauti na wenzake waliomtangulia.
Wamewahi uwepo mabilionea wengi Dunia I. Wakina Bil Gate, Carlos Slim, Warren Buffet, Suleiman maana wa Daudi etc
Ninachoshangaa huyu jamaa wanakuwa na ushawishi karibu katika Kila kitu Duniani.
SMO ya Urusi Ukraine yeye yuko na ndiye anayesikilizwa.
Mashariki ya kazi Yumo.
Uchaguzi Wa US anahusika pakubwa pia. Hata hapa kwetu TZ alipitapita na internet yake.
Wakati watu wote wanahamia Twita yeye kainunua na kubadilisha anavyotaka. Inaonekana akitaka kununua chochote hashindwi.
Huyu mwamba Ana nini cha tofauti na wenzake waliomtangulia.