#COVID19 Kwanini Taifa Halisisitizi na Kuhamasisha Tiba ya Corona badala ya Chanjo?

#COVID19 Kwanini Taifa Halisisitizi na Kuhamasisha Tiba ya Corona badala ya Chanjo?

soam

Member
Joined
Jan 23, 2013
Posts
31
Reaction score
8
  1. Kuna watu wengi wanapona kwa kutumia dawa za hospitalini pamoja na mitishamba kwa gharama ndogo (ya kawaida) lakini dawa hizi hazisisitizwi popote, yaani dunia imeamua kwenda na chanjo badala ya tiba huku wengi wakiangamia wakati tiba ipo. Je, ni kwamba hizi dawa hazifai?​
  2. Msaada wa chanjo uliotolewa nchini ni dozi milioni 1 lakini idadi ya watu ni milioni 57. Je, kama taifa tumewahi kufikiria kuhusu gharama ya kupata dozi inayosalia ili jamii nzima ichanjwe kuwa itakuwa kiasi gani na itapatikanaje na hivyo kujikita katika kile tunachokimudu kati ya kuchanja au kutibu?​
  3. Kuwepo kwa aina nyingi za chanjo ambazo zingine zinakataliwa na baadhi ya nchi kwamba haziaminiki ni dhahiri kwamba hizi chanjo zinatakiwa kuhuishwa ili kupata aina chache za chanjo zitakazokubalika duniani kote, hivyo siyo busara kukimbilia kitu ambacho hakijapatiwa muafaka.​
  4. Kumekuwepo na tabia ya kirusi cha korona kubadilika badilika, hivyo kupata chanjo moja itakayodhibiti aina zote yaweza kuchukua muda na hivyo watu kulazimika kuchanja tena huko mbeleni.​
Ushauri: Kwa kuwa chanjo ni hiyari, Serikali ijikite katika kuangalia dawa bora kati ya dawa zinazotumika kutibu korona na isisitize tiba ya korona badala ya kusisitiza na kuhamasisha chanjo zaidi, ili makundi yote yaweze kukidhiwa mahitaji yao (maana waliochanja pia wanaweza kuambukizwa na kutumia dawa hizo sawa na wasiochanjwa).​
 
Haya mambo ya kitaaluma tungewaachia wataalamu wenyewe tungekuwa tunajitendea haki sana.

1. Kuna watu wengi wanapona Corona Bila kutumia dawa yoyote.
--- haina maana kama wangepiga nyungu wasingepona.
---- haina maana kama wangeenda kuchakata au kuchakatwa mbususu wasingepona.

===> Kupona kwao kwa chochote ambacho wangetumia hakuna maana hicho ndiyo tiba yenyewe.

2. Ukisikia ugonjwa hauna dawa kuna sababu za kisayansi zinazofanya hitimisho kama hilo kufikiwa.
--- kansa, ukimwi, ebola, Corona ni baadhi ya magonjwa yasiyo na tiba.

Ninakazia: ushauri na bandiko lako lote kwa ujumla hayana maana yoyote katika uwanja huu wa tiba ambo bila shaka hauna a,b,c,d zake.
 
Mkuu huo unaouita utaalamu mpaka sasa haujatupatia majibu ya maswali hapo juu, jaribu kufuatilia kwa hao wataalamu watakuthibitishia. Lakini ujue swala la afya linatuathiri mtu mmoja mmoja na kama taifa bila kujali utaalam kuanzia kwenye mipango, mapato, matumizi, na maisha ya kila siku. Tukikaa bila kufanya chochote hatakuwepo wa kufanya kwa niaba yetu.
 
  1. Kuna watu wengi wanapona kwa kutumia dawa za hospitalini pamoja na mitishamba kwa gharama ndogo (ya kawaida) lakini dawa hizi hazisisitizwi popote, yaani dunia imeamua kwenda na chanjo badala ya tiba huku wengi wakiangamia wakati tiba ipo. Je, ni kwamba hizi dawa hazifai?​
  2. Msaada wa chanjo uliotolewa nchini ni dozi milioni 1 lakini idadi ya watu ni milioni 57. Je, kama taifa tumewahi kufikiria kuhusu gharama ya kupata dozi inayosalia ili jamii nzima ichanjwe kuwa itakuwa kiasi gani na itapatikanaje na hivyo kujikita katika kile tunachokimudu kati ya kuchanja au kutibu?​
  3. Kuwepo kwa aina nyingi za chanjo ambazo zingine zinakataliwa na baadhi ya nchi kwamba haziaminiki ni dhahiri kwamba hizi chanjo zinatakiwa kuhuishwa ili kupata aina chache za chanjo zitakazokubalika duniani kote, hivyo siyo busara kukimbilia kitu ambacho hakijapatiwa muafaka.​
  4. Kumekuwepo na tabia ya kirusi cha korona kubadilika badilika, hivyo kupata chanjo moja itakayodhibiti aina zote yaweza kuchukua muda na hivyo watu kulazimika kuchanja tena huko mbeleni.​
Ushauri: Kwa kuwa chanjo ni hiyari, Serikali ijikite katika kuangalia dawa bora kati ya dawa zinazotumika kutibu korona na isisitize tiba ya korona badala ya kusisitiza na kuhamasisha chanjo zaidi, ili makundi yote yaweze kukidhiwa mahitaji yao (maana waliochanja pia wanaweza kuambukizwa na kutumia dawa hizo sawa na wasiochanjwa).​
Tiba ya corona ipi?
 
Napenda kushare hii kitu kuna anti viral inafanya kazi 99% imeokoa watu ni dawa imepitishwa japo ghali kidogo kama dola 70 ila nataka niweke link hapa inaweza kusaidia mtu huko.

 
Back
Top Bottom