Kwanini Tamisemi haijazingatia "marital status" kwa kuwapeleka madaktari mbali na wenza wao?

Kwanini Tamisemi haijazingatia "marital status" kwa kuwapeleka madaktari mbali na wenza wao?

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,206
Reaction score
18,549
Tunaipongeza serikali kwa kuajiri madaktari wengi sana mwaka huu hasa tamisemi.

Pamoja na hilo kumekuwa na malalamiko mengi sana kwa wale ambao wamesha oa na waliomba kupangiwa katika mikoa ambayo wapo wanaishi na familia zao.

Cha ajabu pamoja na watu hai kuanfika kwamba wameoa au wameolewa , tamisemi imewapangia mikoa ya mbali ambayo hata hawakuchagua.

Hii inaonekana kuleta usumbufu kwenye familia na kuletea usumbufu wa kuanza kuomba uhamidhi.

Kwanini tamisemi haijazinvatia merital status.?
 
Watakuambia uchague kulea ndoa au uende kazini
 
Hivi nchi zilizoendelea, mtu anapangiwa kazi pale anapoishi mume au mke wake? Au huu utaratibu uko nchi gani, tujuzeni mnaobeba mabox nje
 
Tunaipongeza serikali kwa kuajiri madaktari wengi sana mwaka huu hasa tamisemi..

Pamoja na hilo kumekuwa na malalamiko mengi sana kwa wale ambao wamesha oa na waliomba kupangiwa katika mikoa ambayo wapo wanaishi na familia zao..

Cha ajabu pamoja na watu hai kuanfika kwamba wameoa au wameolewa , tamisemi imewapangia mikoa ya mbali ambayo hata hawakuchagua..
Hii inaonekana kuleta usumbufu kwenye familia na kuletea usumbufu wa kuanza kuomba uhamidhi.

Kwanini tamisemi haijazinvatia merital status.?
Sasa kuna mikoa itakosa kabisa ma Dr kama kila mtu atasema aende kwa mwenza ......nenda kwanza ulikopangiwa baadae utakuja ku swap...%ikibidi
 
Ivi mbn hamliziki unataka ndoa au unataka kazi Dah
Kweli kuna binadamu awaliziki
 
Ajira haikulazimishi kuifanya mbali. Kama hutaki usiripoti kazini nafasi apewe anayeweza kwenda
 
Itajulikana mbele ya safari kama ni mke atamfuata mume au mume atamfuata mke au kubadilisha kituo cha kazi

Au ikiwa wataamua kuwa na uhusiano wa kihuni long distance relationship
 
Back
Top Bottom