Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Sote tunashuhudia mabilioni ya fedha za miradi ya TAMISEMI kwenye Halmashauri kadhaa hapa nchini. Ni hatua kubwa sana kwa maendeleo ya nchi.
Tuna miradi ya shule, mabweni, vituo vya afya, Hospitali, nyumba za watumishi, majengo ya utawala n.k n.k
Unakuta TAMISEMI Makao Makuu wanaleta fedha mfano Milioni 250 za vituo vya afya lakini hawaleti fedha za usimamizi wa kazi. Kitendo cha kuziachia Halmashauri jukumu la kuwawezesha wataalamu kusimamia miradi hiyo siyo jambo jema, kwani hazina uwezo na inajulikana hivyo.
Badala yake mafundi wanajenga miradi bila uwepo wa wataalamu (full supervision) hata mshauri mwelekezi.
Kazi hazina ubora unaotakiwa. Kazi ni mbovu sana.
Ni jambo la kufikirisha sana TAMISEMI kutoa Milioni 250 ya kazi bila hata 10m ya usimamizi wa kazi
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Tuna miradi ya shule, mabweni, vituo vya afya, Hospitali, nyumba za watumishi, majengo ya utawala n.k n.k
Unakuta TAMISEMI Makao Makuu wanaleta fedha mfano Milioni 250 za vituo vya afya lakini hawaleti fedha za usimamizi wa kazi. Kitendo cha kuziachia Halmashauri jukumu la kuwawezesha wataalamu kusimamia miradi hiyo siyo jambo jema, kwani hazina uwezo na inajulikana hivyo.
Badala yake mafundi wanajenga miradi bila uwepo wa wataalamu (full supervision) hata mshauri mwelekezi.
Kazi hazina ubora unaotakiwa. Kazi ni mbovu sana.
Ni jambo la kufikirisha sana TAMISEMI kutoa Milioni 250 ya kazi bila hata 10m ya usimamizi wa kazi
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app