inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 597
- 651
Katila jambo ambalo huwa linanifikirisha mpaka leo, ni jinsi ambavyo wateja wanaotaka kuunganishiwa umeme ni wengi sana, lakini Tanesco imeshindwejekuwafikia. Na wale wanaounganishiwa umeme,basi kasi ni ya kusuasua sana, tena wengine ni mpaka watumie njia ya mkato.
Hii ina maana Tanesco, pamoja na kujawa na watalaam waliobobea, wameshindwa kabisa kuwafikishia wananchi umeme.
Kwanini wasiruhusu sekta binafsi ilawasambazia umeme wananchi majumbani. Nadhani tutaondokana na ukiritimba wa miaka nenda rudi wa Tanesco.
Ndugu Kafulila,tunaimba PPP kwenye usambazaji wa umeme majumbani.
Hii ina maana Tanesco, pamoja na kujawa na watalaam waliobobea, wameshindwa kabisa kuwafikishia wananchi umeme.
Kwanini wasiruhusu sekta binafsi ilawasambazia umeme wananchi majumbani. Nadhani tutaondokana na ukiritimba wa miaka nenda rudi wa Tanesco.
Ndugu Kafulila,tunaimba PPP kwenye usambazaji wa umeme majumbani.