Kwanini Tanzania hatutumii wachezaji wetu wanaocheza nje?

Kwanini Tanzania hatutumii wachezaji wetu wanaocheza nje?

Mndengereko One

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2015
Posts
340
Reaction score
243
Tanzania tumekuwa na kasumba ya kutokuamini wachezaji wetu wanaocheza nje tunawachezaji wengi japo sio sana wanaocheza nje lakini atuwatumii.

Mfano Hamisi Mroki huyu alikuwa timu ya taifa ya vijana ya kina Himid mao lakini alipoondoka Bongo ndo atuna mpango nae tena .
Juma Luizio tulimtumia mara ya mwisho tulipo kwenda South baada ya hapo tumempotezea kwanini tusiwape nafasi ili itoe changamoto kwa wandani ligi ya zambia ni bora kuliko ya kwetu.

George Banda, Notikelly masasi na David Naftali kwanini tusingewaita timu ya challege wakitusaidia tuwapeleke Stars au inawezekana ata kocha ajui kama kuna wachezaji hao.
 
Umeshawahi kujiuliza hizo nchi walizoenda viwango vyao vya mpira viko juu?

Sio wanakuja national team then wanajambajamba tu....
 
kama kenya ,zambia ,south mbona uganda wakina Juko ,kiiza wanacheza bongo na timu ya taifa wanapata namba na uganda ipo juu kisoka kuliko sisi ata erasto nyoni tulimtoa burundi akuna aliyekuwa anamjua na akawa tegemeo na kufanya tanzania izizime kwa bao lake kule burkinakaso
 
kama kenya ,zambia ,south mbona uganda wakina Juko ,kiiza wanacheza bongo na timu ya taifa wanapata namba na uganda ipo juu kisoka kuliko sisi ata erasto nyoni tulimtoa burundi akuna aliyekuwa anamjua na akawa tegemeo na kufanya tanzania izizime kwa bao lake kule burkinakaso
Kitu cha msingi sio viwango vyao wanakocheza kama wanastahili kuchezea timu ya taifa na sio kucheza tu nje ndio iwe kigezo cha kuchezea timu ya taifa
 
Kitu cha msingi sio viwango vyao wanakocheza kama wanastahili kuchezea timu ya taifa na sio kucheza tu nje ndio iwe kigezo cha kuchezea timu ya taifa

natutajuaje viwango vyao kama makocha wetu hawawaangalii ligi wanazocheza kwann kwenye michuano ya challege tusiwaite wawili watatu tuwaangalie si tumeshidwa kwenda kuwaangalia kwenye ligi yao kenya tunawachezaji watatu tena karibu tu ,south watatu
 
natutajuaje viwango vyao kama makocha wetu hawawaangalii ligi wanazocheza kwann kwenye michuano ya challege tusiwaite wawili watatu tuwaangalie si tumeshidwa kwenda kuwaangalia kwenye ligi yao kenya tunawachezaji watatu tena karibu tu ,south watatu

Uko serious kweli,yani unawaita wachezaji kwenye mashindano ndio uangalie viwango vyao ? Hatuna utaratibu wa kufatilia wachezaji wa nje lakini kama wana viwango vizuri watajulikana tu mfano kina Ulimwengu na Samata
 
kwan hiyo challege tunayopeleka wachezaji tunaowajua tunafanyaga nn kwani yana faida gani zaidi yakujua uwezo wa wachezaji wako ndo mashindano ya kuwatambua samata na ulimwengu hao wameondoka wakijulikana ukitoa ulimwengu samata aliondoka na jina tayari
 
kwan hiyo challege tunayopeleka wachezaji tunaowajua tunafanyaga nn kwani yana faida gani zaidi yakujua uwezo wa wachezaji wako ndo mashindano ya kuwatambua samata na ulimwengu hao wameondoka wakijulikana ukitoa ulimwengu samata aliondoka na jina tayari

So tukipeleka wachezaji tusiowajua ndio tutachukua ubingwa ? Dunia ya sasa kama unacheza mpira na kiwango chako kiko juu lazima utajulikana.Mchezaji anayecheza nje na kuitwa timu ya taifa lazima awe na kiwango kikubwa kuliko hawa ambao wanacheza hapa nyumbani
 
hao tutawajuaje tunaona timu nyingine kocha wa timu ya taifa anaenda kushudia wachezaji wake lakin bongo vp
 
Back
Top Bottom