Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Tenga? Tunakwama wapi kama taifa?

Azam kaingiaje mkuu!ila pee mwana haramu ata ipakazwe damu waumini tutaitumia na vitabu tutanulili na ebu ongeza naisi hii ya afande naisahu kwakua ninamajukumua ya kulinda familia ndoa bado mzee amjedy khan niko nakandamiza mvinyo
 
Azam kaingiaje mkuu!ila pee mwana haramu ata ipakazwe damu waumini tutaitumia na vitabu tutanulili na ebu ongeza naisi hii ya afande naisahu kwakua ninamajukumua ya kulinda familia ndoa bado mzee amjedy khan niko nakandamiza mvinyo
Mkuu, huu uandishi wako ni kimboko aisee
 
Azam kaingiaje mkuu!ila pee mwana haramu ata ipakazwe damu waumini tutaitumia na vitabu tutanulili na ebu ongeza naisi hii ya afande naisahu kwakua ninamajukumua ya kulinda familia ndoa bado mzee amjedy khan niko nakandamiza mvinyo
Uandishi wa kizaramo huu mkuu hahahahaaaa
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Mabeberu yameanza kumpigia JPM magoti. Tuliwaonya Magufuli hajaribiwi.
 
Ikiwa wanaosomea sanaa na kugraduate wanaikimbia seuze michezo mingine? Usishangae kwanini wachezaji na wasanii wengi ni darasa la saba na si graduate's kwa maana siasa ilishaingia michezoni weledi wakaipuuza kwa kuwaachia wasiojitambua.
Tulibadilika mengi yatarudi mahala pake
 
dah hawa jamaa walikuwa wakiupiga mpira mkubwa sana enzi hizo wakati ni madenti pale UDSM mid 80s aisee:

Lawrence Mwalusako
Dennis Mdoe
Leonard Thadei
kuna brazameni mmoja hivi nimemsahau jina alikuwa akichezea Red Star.

siku hizi wamejaa wacheza singeli na wanyoa viduku dizaini ya kina Morrison tu!
 
dah hawa jamaa walikuwa wakiupiga mpira mkubwa sana enzi hizo wakati ni madenti pale UDSM mid 80s aisee:
Mkuu, unaonekana wewe pia ni Mhenga sana kwa maana hiyo Mid 80s akina sisi ndio tunazaliwa...
 
Pfrofesa Madundo Mtambo.
 
Mada ni nzuri sana Nadhani mfumo wetu wa elimu hausupport hili by the way wazazi wajitahidi kuwapeleka watoto shule katika umri mdogo ili kuwahi umri kwasababu kwa mfumo wetu shule huchukua muda sana kwa mwanafunzi
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Hahaha hizo hasira watazionyesha kwa lissu kutokana na kusaliti Nchi yetu.
 
Magufuli miaka mitano tena .ameleta mabadiliko makubwa.
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Tunamsubiri Malikia wa Uingereza naye amuangukie Rais Magufuli na Watanzania.
 
Mkuu, kwani hao wanafunzi wanaoenda huko UMITASHUMTA na UMISETA si ndio hao hao ambao wapo huku mtaani wanacheza ndondo cup na kuonwa na TFF?

Tatizo ni serikali au ni wanafunzi wenyewe?
Rais Magufuli hapendi vya dezo kama Wapinzani Tunataka Uchaguzi ili tuwanyooshe walimbukeni wa siasa kama CHADEMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…