Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #121
Exactly mkuu...Nasikia alikwenda ziarani Brazili kama sehemu ya kikosi cha yanga miaka ile ya sabini akiwa na lecture notes na vitabu lukuki kujiandaa na University Exam.
Sawa mkuuMichezo ya wazungu Marekani hii.
Poa dogoSawa mkuu
Wewe una ukubwa gani mpaka unamuita mwenzio dogo?Poa dogo
Punguza ushamba mkuu. Yaaani ulikuwa haujui mchezo wa LACROSSE. Unakaa dunia ipi kijana?Huo mchezo wa lacrosse hata mimi kweli nilikuwa siujui kabisa mkuu
Hahahahaaaa sasa wewe una ujanja gani mkuu?Punguza ushamba mkuu. Yaaani ulikuwa haujui mchezo wa LACROSSE. Unakaa dunia ipi kijana?
Absolutely right...Ume uliza kitu kizuri maana nasikiaga hiki kinacho tokea uganda leo walikujaga kuiga Tanzania miaka ya zaman
Tenga kasoma alivyoacha mpira, Mayai kasoma akaacha mpira, hakuna msomi Tanzania ambae alimaliza university akaendelea kucheza mpira tusidanganyaneFootballers with degrees: Kompany, Mata & 10 players who went to university | Goal.com
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa Jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Eti ndugu zangu watanzania;
Kwanini Tanzania inashindwa kuzalisha tena wachezaji ambao ni "University Graduates" kama akina Engineer Leodgar Chila Tenga pamoja na ndugu Mohamed Mbwana Bakari "Junior"? Tunakwama wapi kama taifa?
Ninasikia huyu Mbwana Mohammed Bakari "Junior" alikuja kuwa boss mkuu (Commissioner General) wa idara ya uhamiaji hapa nchini baada ya kuacha kucheza soccer.
Ukijaribu kuangalia kwa haraka haraka katika kikosi cha timu ya taifa ya Soccer ya Tanzania (Taifa Stars) utakuta mchezaji mwenye elimu ya juu ni form six tu.
Kwanini vilabu vya soccer/michezo hapa kwetu havitoi msisitizo kwa wachezaji wao kujiendeleza kielimu ilhali inajulikana fika ya kuwa mchezaji hata kama akiwa ni tajiri sana akisoma anakuwa katika nafasi nzuri ya kusimamia vema mali zake?
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Maoni ya mdau
Kwanini hao wengine wakiacha mpira hawasomi? Kwanini hao wengine wasisome kisha wakaacha mpira?...Tenga kasoma alivyoacha mpira, Mayai kasoma akaacha mpira,
Swali gumu sana hili kwa mtu mwenye upeo mdogo kama huyo jamaa.Kwanini hao wengine wakiacha mpira hawasomi? Kwanini hao wengine wasisome kisha wakaacha mpira?...
Alafu kila siku anakaa kujigamba eti alisoma UDSM. UD inatoa wanafunzi cream tu hakuna kanjaa anayesoma chuo kama kileSwali gumu sana hili kwa mtu mwenye upeo mdogo kama huyo jamaa.
Hivi unaweza mlinganisha Ajib na Tenga?Messi na Ronaldo wana degree ngap?....mashabiki wa insta tuacheni na mchezo wetu pendwa...Tenga na huyo mwingine uliomtaja walicheza mpira wa amateur ....Ajibu darasa la saba ana nyumba mbili za maana mjini
Ndidi nayeye alikuwa anasomaMbali na mata na huyo kompany hao wengine wakuokoteza labda Socrates. Mpira wake masela mkuu. Ikitokea graduate ujue hiyo kunguru kumnyea binaadamu
Nilipokuwa benki kuu (BoT) kurugenzi ya utafiti na sera za uchumi niliambiwa na aliyekuwa mkurugenzi wa kurugenzi hiyo Dr. Joe Masawe kipindi hicho kuwa kuna mtu alikuwa anaitwa Mwalusako kama sikosei aliwahi kufanya kazi hapo, aliacha kucheza mpira akiwa Yanga miaka ya 90 mwanzoni akajiunga na benki kuu kama mchumi daraja la pili tayari akiwa na shahada ya Kwanza na ya pili ktk uchumi kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam.Tenga kasoma alivyoacha mpira, Mayai kasoma akaacha mpira, hakuna msomi Tanzania ambae alimaliza university akaendelea kucheza mpira tusidanganyane
Ulipiga kazi BOT? Upo vizuri sana mzee babaNilipokuwa benki kuu (BoT) kurugenzi ya utafiti na sera za uchumi niliambiwa na aliyekuwa mkurugenzi wa kurugenzi hiyo Dr. Joe Masawe kipindi hicho kuwa kuna mtu alikuwa anaitwa Mwalusako kama sikosei aliwahi kufanya kazi hapo, aliacha kucheza mpira akiwa Yanga miaka ya 90 mwanzoni akajiunga na benki kuu kama mchumi daraja la pili tayari akiwa na shahada ya Kwanza na ya pili ktk uchumi kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam.
Kwani nini Jombaa? Nilikuwa nanyoosha maelezo hapo juu ya mtu aliyekuwa anacheza mpira wa ushindani ngazi ya juu kabisa ( super league) huku akifanya full-time programme chuo kikuu hapa hapa Tanzania.Ulipiga kazi BOT? Upo vizuri sana mzee baba
Mishahara ya BOT ni mireeefu sijapata kuona jombaaKwani nini Jombaa? Nilikuwa nanyoosha maelezo hapo juu ya mtu aliyekuwa anacheza mpira wa ushindani ngazi ya juu kabisa ( super league) huku akifanya full-time programme chuo kikuu hapa hapa Tanzania.
BOT kumejaa watoto wa vigogo tu mzee babaMishahara ya BOT ni mireeefu sijapata kuona jombaa
Sio kweli Jombaa, ni propaganda tu. Inafanana sana na ile ya wahadhiri vyuoni.Mishahara ya BOT ni mireeefu sijapata kuona jombaa