Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
Mkuu unamaanisha kwamba unatoa scholarship kwa anaehitaji io kitu au sijakusoma?Tunahitaji Tech Journalists wengi Tanzania.
Technojia inazidi kukua na hatuna watu wa kutosha kuelewesha jamii juu ya masuala ya Teknolojia. Elimu hii inahitajika sana.
Kama tulivyo na sports, Medical, entertainment, fashion, political etc.
Jamii inahitaji hii Elimu sana au wewe mdau unasemaje tuachie maoni yako ?
View attachment 3148863
#TechNews #Elimu #TCRA #tanzania
Nakubaliana nawewe kwa 100%.Tunahitaji Tech Journalists wengi Tanzania.
Technojia inazidi kukua na hatuna watu wa kutosha kuelewesha jamii juu ya masuala ya Teknolojia. Elimu hii inahitajika sana.
Kama tulivyo na sports, Medical, entertainment, fashion, political etc.
Jamii inahitaji hii Elimu sana au wewe mdau unasemaje tuachie maoni yako ?
View attachment 3148863
#TechNews #Elimu #TCRA #tanzania
Yah nimechukua kwa mtaalam Wilbert #Tottech kwani Kuna ubaya 🥱🥱You exposed your id from twitter..
Tot tech twitter...hahh
Uwe unatoa appreciation basi kama ndoulivoYah nimechukua kwa mtaalam Wilbert #Tottech kwani Kuna ubaya 🥱🥱