Kwanini Tanzania one (T.O) kidato cha nne hawakimbizi kidato cha sita?

Kwanini Tanzania one (T.O) kidato cha nne hawakimbizi kidato cha sita?

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
Wakuu naombeni kujuzwa waliofaulu vizuri form iv huwa wanaendelea kukimbiza vidato vinavyofuata? Alie na hizo data aweke hapa.
 
shule ni muda mchache sana katika maisha yako isikupe stress
 
Kuna mtu anaitwa martin chegere.

Aliongoza darasa la saba mwaka 2000 akaja ongoza kidato cha nne mwaka 2004 akaja ongoza form six mwaka 2007. Kawa best student UDSM mwaka 2010 hapa alivunja rekod ya prof. Lipumba. Kakimbiza saana masterz kwa wana economics pale UDSM
Saiz anatia adabu huko nje anapofanya PHD yake.
 
wakiambiwa ukweli wanafikiri masikhara au utani bora akue ayaone tu


Kuna kijana aliteseka na ma PCM yake akapiga computer science now anasaga lami mtaani kila siku kunisumbua nimpe connection serikalini wakati hali imechafuka siku hizi...

Nawapongeza kuwa na higher expectations inawapa courage but ukija kwenye real life ni stress tupu....
 
Kuna kijana aliteseka na ma PCM yake akapiga computer science now anasaga lami mtaani kila siku kunisumbua nimpe connection serikalini wakati hali imechafuka siku hizi...

Nawapongeza kuwa na higher expectations inawapa courage but ukija kwenye real life ni stress tupu....

maisha ni zaidi ya shule huyo muhindi anayekuajiri kaishia fm4
waache waambiane kazi zipo sawa ila ajira hakuna
 
Majanga Majanga mtaani ni nomaaa unakimbizwa na makanjanja div 5:

muhindi ana milioni zake mia hajui chochote kuhusu utalii anafungua kampuni ya kitalii wabongo mnamtumikia kwa laki mpaka unazeeka
 
Wakuu naombeni kujuzwa waliofaulu vizuri form iv huwa wanaendelea kukimbiza vidato vinavyofuata? Alie na hizo data aweke hapa.

Kulikuwaga na jembe Ilboru alikuwa TO olevel na advance akawa TO ilikuwa 2002 na 2004 kama cjakosea miaka
 
Back
Top Bottom