jaffery hassan
Member
- Dec 9, 2008
- 77
- 7
MIMI NI MDAU WA UTALII ILA KWA NINI TUNAFANYA VIBAYA KENYA WANAFANYA VIZURI HIYO SEKTA IMEAJIARI WATU WENGI NA KWETU PIA INGEPUNGUZA TATIZO LA AJIRA.:msela:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani Tanzania inafanya vizuri zaidi ya Kenya kwenye biashara ya utalii.
Kwa kifupi ni kuwa kwa mwaka Tanzania inaingiza mapato makubwa kupitia biashara ya utalii kuliko Kenya. Ingawaje Kenya inaingiza watalii wengi kuliko Tanzania. Hali hii inatokana na kuwa watalii wengi wanaokwenda Kenya ni wale wa bei nafuu wakati watalii wanaoingia Tanzania ni wale wenye uwezo wa kulipa gharama za juu.
You must be dreaming, unafikiria kiCCM CCM !!!!