Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkarimani = mkalimani, watafasiliwe = watafsiriwe... kajifunze kwanza kiswahili ndo uje ulete hoja yako.Kiingereza kinafundishwa kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu, kwanini watanzania watafasiliwe Kiingereza kwenye mikutano yetu na wageni? Hii ni aibu kubwa kwa taifa, elimu yetu na hata Chama tawala.
Chukua hatua kuiondoa aibu hii nzito.
Kiingereza kinafundishwa kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu, kwanini watanzania watafasiliwe Kiingereza kwenye mikutano yetu na wageni? Hii ni aibu kubwa kwa taifa, elimu yetu na hata Chama tawala.
Chukua hatua kuiondoa aibu hii nzito.
Waalimu wazuri na mitaala inayojitosheleza inakosekana.Kingereza kinafundishwa kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu, kwanini watanzania watafasiliwe Kiingereza kwenye mikutano yetu na wageni? Hii ni aibu kubwa kwa taifa, elimu yetu na hata Chama tawala.
Chukua hatua kuiondoa aibu hii nzito.