Kwanini Tanzania tusijitokeze na kutangaza kuchangia mchango wote ambao Trump ametishia kujiondoa WHO? Hii itatupa heshima Dunia nzima

Kwanini Tanzania tusijitokeze na kutangaza kuchangia mchango wote ambao Trump ametishia kujiondoa WHO? Hii itatupa heshima Dunia nzima

Wakusoma 12

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2017
Posts
4,035
Reaction score
11,462
Nimewaza sana na ninafikiri ni muda Sasa wa Dunia kututambua USA amesema kwa mwaka Jana pekee alichangia kiasi Cha Dola za Marekani milioni 500 pesa ambazo ni kama tilioni moja nukta 2 za kitanzania (1.2tirioni za kitanzania). Pesa hizi tunao uwezo wa kuzipata na kuziwakilisha kama mchango wetu kwa shirika la Afya duniani. Hii itatujengea heshima na kututangaza kimataifa zaidi. Wakuu hii imekaaje
 
Jina lako ndo hilo la Wakusoma?

Kama ndo hivyo, labda ukimaliza shule pengine itasaidia kidogo kuelewa mambo kama hayo, kwa sasa we piga shule kwanza
 
Nimewaza sana na ninafikiri ni muda Sasa wa Dunia kututambua USA amesema kwa mwaka Jana pekee alichangia kiasi Cha Dola za Marekani milioni 500 pesa ambazo ni kama tilioni moja nukta 2 za kitanzania (1.2tirioni za kitanzania). Pesa hizi tunao uwezo wa kuzipata na kuziwakilisha kama mchango wetu kwa shirika la Afya duniani. Hii itatujengea heshima na kututangaza kimataifa zaidi. Wakuu hii imekaaje

Kwa pesa gani? USAID wamesha simamisha miradi yao Tanzania jana. Pesa za dawa za ukimwi na chanjo kwa watoto. Mama ana nunua magari ya Polisi kwenye chaguzi fake na kulipia wasanii wakampe kiki Dodoma kashalewa madaraka hawezi kuwakumbuka. Watanzania amkeni acheni ndoto
 
Nimewaza sana na ninafikiri ni muda Sasa wa Dunia kututambua USA amesema kwa mwaka Jana pekee alichangia kiasi Cha Dola za Marekani milioni 500 pesa ambazo ni kama tilioni moja nukta 2 za kitanzania (1.2tirioni za kitanzania). Pesa hizi tunao uwezo wa kuzipata na kuziwakilisha kama mchango wetu kwa shirika la Afya duniani. Hii itatujengea heshima na kututangaza kimataifa zaidi. Wakuu hii imekaaje
Mtakata pumzi saa 2 asubuhi
 
Nimewaza sana na ninafikiri ni muda Sasa wa Dunia kututambua USA amesema kwa mwaka Jana pekee alichangia kiasi Cha Dola za Marekani milioni 500 pesa ambazo ni kama tilioni moja nukta 2 za kitanzania (1.2tirioni za kitanzania). Pesa hizi tunao uwezo wa kuzipata na kuziwakilisha kama mchango wetu kwa shirika la Afya duniani. Hii itatujengea heshima na kututangaza kimataifa zaidi. Wakuu hii imekaaje
Halafu uone CCM wanaserebuka na wasanii kwa huo mchango utarudia tena kuchanga?
Kuna hela zinamwagwa hazina hata bajeti tumieni hizo.
Goli la mama
Ruzuku vyàma vya siasa
V8
Mahekalu ya mawaziri
Ester buses
Sherehe kizimkazi
Mapinduzi
Uhuru
Mwenge
Ngoroñgoro
Gas
Ongeza.....
 
Jina lako ndo hilo la Wakusoma?

Kama ndo hivyo, labda ukimaliza shule pengine itasaidia kidogo kuelewa mambo kama hayo, kwa sasa we piga shule kwanza
Kipi kinashindikana mkuu? Pesa ambayo ni tirion moja inatushinda kweli?
 
Halafu uone CCM wanaserebuka na wasanii kwa huo mchango utarudia tena kuchanga?
Kuna hela zinamwagwa hazina hata bajeti tumieni hizo.
Goli la mama
Ruzuku vyàma vya siasa
V8
Mahekalu ya mawaziri
Ester buses
Sherehe kizimkazi
Mapinduzi
Uhuru
Mwenge
Ngoroñgoro
Gas
Ongeza.....
Mabus ya CCM
Ziara za hovyo za machawa Korea na kwingineko
Mamilioni ya michango kwenye madhehebu ya kipigaji
 
Wewe unafikiri ni rahisi kukusnya pesa hizo kwa watanzania masikini, halaf ninkula mwaka, hufikiahinhata bil 10. Kodi yyyenyewe ya haki ni mtiti kukisanya
 
Nimewaza sana na ninafikiri ni muda Sasa wa Dunia kututambua USA amesema kwa mwaka Jana pekee alichangia kiasi Cha Dola za Marekani milioni 500 pesa ambazo ni kama tilioni moja nukta 2 za kitanzania (1.2tirioni za kitanzania). Pesa hizi tunao uwezo wa kuzipata na kuziwakilisha kama mchango wetu kwa shirika la Afya duniani. Hii itatujengea heshima na kututangaza kimataifa zaidi. Wakuu hii imekaaje
Pesa zenu zinajenga na kuimarisha maisha binafsi ya wanasiasa. Hata hizo za wahisani zinaliwa tu kwa fujo!
 
Back
Top Bottom