GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mkuu mmteule ,umeandika na kumaliza yote.Yaan mimi pia nimejiuliza swali kama hilo several times, Hivi Tarimba katoka Kufiwa Watoto wawili kwa mpigo! Sioni akiwa na uchungu wa kupoteza Watoto au kupambana na Ugonjwa uliowaua wanawe bali yeye ana Uchu wa Kupambana na TFF...
Sheria za fifa hazimruhusu kwa position aliyoko yeye kugombea uongozi wa soka kachukua form makusudi ili kuleta vurugu tu jina likikatwa,he is pathetic na inamuuma sbabu msimu ujao simba wanaachana na hao sportspesa hata kwenye mambo ya betting kapigwa bao na betpawaYaan mimi pia nimejiuliza swali kama hilo several times, Hivi Tarimba katoka Kufiwa Watoto wawili kwa mpigo! Sioni akiwa na uchungu wa kupoteza Watoto au kupambana na Ugonjwa uliowaua wanawe bali yeye ana Uchu wa Kupambana na TFF...
Kawaharibu sana Vijana wengi wa Kinondoni ( hasa Kipindi cha Utawala wa Rais Kikwete ) kwa kuwaingiza katika Ulaibu wa Poda (Ngada) ambayo ameiuza mno na ndiyo imemtajirisha kama Swahiba wake Idi Azzan ambaye nae Wakazi (hasa Wazazi wa Msasani ) hawana hamu nae.Yaan mimi pia nimejiuliza swali kama hilo several times, Hivi Tarimba katoka Kufiwa Watoto wawili kwa mpigo! Sioni akiwa na uchungu wa kupoteza Watoto au kupambana na Ugonjwa uliowaua wanawe bali yeye ana Uchu wa Kupambana na TFF...
Umemaliza kila Kitu Mkuu na umesema Ukweli mtupu na wala siongezi tena neno lolote lile.sheria za fifa hazimruhusu kwa position aliyoko yeye kugombea uongozi wa soka kachukua form makusudi ili kuleta vurugu tu jina likikatwa,he is pathetic na inamuuma sbabu msimu ujao simba wanaachana na hao sportspesa hata kwenye mambo ya betting kapigwa bao na betpawa