Kwanini tasnia ya ushereheshaji imehodhiwa na wachekeshaji?

Kwanini tasnia ya ushereheshaji imehodhiwa na wachekeshaji?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Hili swali nimeulizwa na huyu mtoto wangu mdogo!

Kila mcheshi anadhani anaweza kuwa MC na wengi wamevamia huko, cha ajabu ni wachache sana kati yao wenye angalau.

Japo lengo lao kujipatia chochote kitu ila wengi wao ni hovyo kabisa, sherehe sio jukwaa la vichekesho. Washereheshaji mahiri wala sio wachekeshaji.

Kwanini wacheshi wamevamia na kuharibu hii tasnia?
 
🤔Mimi nadhani kusherehesha ni pamoja nakuwafanya watu wafulahi, Hivyo mc aishi katika jukumu lake isiwe badara ya kusherehesha iwe uwanja wake wa kuchekesha😠
 
Watu wanatafuta mkate, na nyie msio wachekeshaji mnaweza kuamua kwa umoja wenu mkavamia hiyo tasnia ya ushereheshaji mkiwa na kitu mtapata kazi nyingi hao wachekeshaji watakosa soko
 
Back
Top Bottom