Kwanini TBC, BBC, SABC, KBC, UBC et

skilled masala

Senior Member
Joined
May 2, 2019
Posts
118
Reaction score
160
Habari wanajukwaa wenzangušŸ¤, naomba ufafanuzi wa jambo hili.


Ni kwanini vyombo vya habari vya serikali especially radio na TV vingi vinatumia mfumo mmoja wa majina yao mfano (KBC, TBC, BBC, UBC, etc.)


1:Je nilazima kwa radio na Tv za serikali kutumia mfumo huu.?


2:Ni sababu ipi ilizifanya radio na TV za baadhi ya nchi kubadili majina yao kuja kwenye mfumo huu mfano RTD to TBC.?


3:Je inaruhusiwa kwa Radio na Tv za watu binafsi au mashirika yasiyo ya kiserikali kufuata mfumo huu.? Mfano ( *Malema broadcasting corporation _MBC_*)


Naombeni majibu ya maswali haya please kama hamtojališŸ¤
 
ukitawaliwa bc unajiandaa kuwa mke, chanzo hapo ni BBC huko UK
 
BC=Broadcasting Corporation. Corporation ni shirika kubwa lenye makampuni madogo madogo mengi. Wengi wameunganisha mfano RTD, Television ya taifa, nk kuunda TBC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…