Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kwa sasa naamini ili wasionekane hawausiki na yanayotokea TCRA waliondoa account yao.
Ukweli mtandao X kuna viongozi wanaogopa kuwa na account au kama wanazo basi sio zao.
Na lingine kama TCRA inaonekana kuwa vikwazo sana kwenye mambo mengi inawezekana na google nayo ikajiondoa tz
Ukweli mtandao X kuna viongozi wanaogopa kuwa na account au kama wanazo basi sio zao.
Na lingine kama TCRA inaonekana kuwa vikwazo sana kwenye mambo mengi inawezekana na google nayo ikajiondoa tz