Kwa sasa naamini ili wasionekane hawausiki na yanayotokea TCRA waliondoa account yao.
Ukweli mtandao X kuna viongozi wanaogopa kuwa na account au kama wanazo basi sio zao.
Na lingine kama TCRA inaonekana kuwa vikwazo sana kwenye mambo mengi inawezekana na google nayo ikajiondoa tz