General directory
Member
- Jun 17, 2013
- 74
- 8
watu wengine bna mnakuwa na mchecheto wa nini sijui....sasa huko ulikuwa unatafuta nini???..........haya sasa kwa taarifa yako ndo ushaharibu hivoooooNimeingia kwenye kibox cha application nikakutana kumeandikwa " <cas> YOU ARE NOT YET APPLIED" but kwenye my profile kila kitu kipo sawa mpaka wameniandikia pale chini kwenye View my selection status na rangi nyekundu tena bold "PROCCESSED. YOU HAVE BEEN SELECTED". Sasa inakuaje tena kwenye application naambiwa "you are not yet applied" coz mwazo nilivyo selectiwa na kuwa proccessed nilikua nikiia kwenye hicho kibox cha application nakutana na neno second round. Tujuzane jamani coz nimepanic
Nimeingia kwenye kibox cha application nikakutana kumeandikwa " <cas> YOU ARE NOT YET APPLIED" but kwenye my profile kila kitu kipo sawa mpaka wameniandikia pale chini kwenye View my selection status na rangi nyekundu tena bold "PROCCESSED. YOU HAVE BEEN SELECTED". Sasa inakuaje tena kwenye application naambiwa "you are not yet applied" coz mwazo nilivyo selectiwa na kuwa proccessed nilikua nikiia kwenye hicho kibox cha application nakutana na neno second round. Tujuzane jamani coz nimepanic
Mnajipanickisha wenyewe! atleast use common sense! kinachokupeleka kwenye kibox cha "Application" ni nin? ukiangalia kwa umakini utaona kabisa hicho kibox rangi yake imefifia kabisa, kwa maana kwamba hutakiwi kukitumia kwa sasa, unatakiwa kubonyeza kule kwenye "my selection status" ndo msemakweli, kama kule kumeandikwa processed successfuly, you are selected, then unachotakiwa ni kuwa na furaha na usubiri kuchaguliwa course mojawapo kati ya ulizozichagua, hayo mambo ya kubofya button ya "application" yatakuponza! utakuja kujikuta umeharibu kila kitu, acha presha
Maelezo Zaid tcu wametoa majina ya waliokuwa ni second round angalia lako
Mkuu jamaa tushamwambia sana hiki kitu lakini haelewi tumuache akafanye yale akili yake inavyomtuma.
Wewe jamaa ninaweza kusema we ni mjinga na mbulumbundu wa mwisho how comes ulete hoja moja daily thenly umepewa majibu yenye facts lakin huelewi? Juzi, jana, na leo umeleta hoja ile ile lakini sijui ndo kutokujiamini au upumbav!
Sasa fata akili yako inavyokutuma koz una kiherehere sana, sasa nani kakwambia uende kwenye inbox ya APPLICATION na akati unaona kabisa haikuhusu?
Unaboa sana sina uhakika kama umemaliza kweli Form6.
Wote waliochaguliwa wameandikiwa hivyohivyo.
Nimeingia kwenye kibox cha application nikakutana kumeandikwa " (CAS) YOU ARE NOT YET APPLIED" but kwenye my profile kila kitu kipo sawa mpaka wameniandikia pale chini kwenye View my selection status na rangi nyekundu tena bold "PROCCESSED. YOU HAVE BEEN SELECTED".
Sasa inakuaje tena kwenye application naambiwa "you are not yet applied" coz mwazo nilivyo selectiwa na kuwa proccessed nilikua nikiia kwenye hicho kibox cha application nakutana na neno second round. Tujuzane jamani coz nimepanic.