NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Dp world ni kuua muungano Kwa kuchochea chuki kati ya bars na visiwani!alietia saini huo mkataba anaua muungano!!Alikuwa Mwenyekiti wa CCM?. Wacha kulinganisha visivyolingana.
yaani yeye ndie mwenyewekiti, kisha huyo huyo anaogopa kuenguliwa🐒Za chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la 4
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Kundi la pili na la tatu 👍 . Hafai hata kidogo kuendelea kwa manufaa mapana ya nchi. Ni dhaifu mno,ni dhaifu mno. Aondoke zakeZa chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la 4
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Kama unataka utamwomba akutolee photocopy. Na photocopy haikubalikiTulijifunza kutoka Kwa Mwendazake aliyechapisha fomu 1 akiogopa kuenguliwa 🔥🔥
Fomu ya Urais wa 2025 itakuwa 1 na jina la Samia tuu.
Nani kamleta?Unaamini nchimbi yupo upande was mama!!?
Sio kaletwa kutibua maji yachafuke ili turudi kikaoni Kwa mara nyingine!!?
Ujao ni zamu ya kuksbidhi nchi kwa chawa mmoja hivi🙂Za chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
HAKUNA MWENYE UTHUBUTU WA KUSEMA WATU WACHUKUE FORM ASHINDANISHWE, HAYUPO. AKITOKEA SIKU IYO WANAMFUTA UANACHAMAZa chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Wamesalia kuongea kwenye vijiwe.HAKUNA MWENYE UTHUBUTU WA KUSEMA WATU WACHUKUE FORM ASHINDANISHWE, HAYUPO. AKITOKEA SIKU IYO WANAMFUTA UANACHAMA
Waliomfanyia vetting!Nani kamleta?
Wengi mnaotabiritabiri sio Wana CCM. Mwana CCM yeyote anaijia Katiba pamoja na Kanuni zake za namna ya kupata Mgombea Urais. Kwa kifupi, mwaka 2025 Mgombea Urais wa CCM ni mmoja tu naye ni MAMA SAMIA SULUHU HASSAN!Za chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Naunga mkono hoja, huyo bibi hana uwezo kabisa wa kujenga uchumi wa nchi, hata msoga alikuwa afadhari, huyu fedha za maendeleo zinaishia mifukoni mwa watu, kauli kabisa, yaani hamna kitu, hata wanaomsapoti wanaudumavu wa akili na wamekosa uzalendo, ndio mana wazungu wanatuona sisi ngedere tu.Kundi la pili na la tatu [emoji106] . Hafai hata kidogo kuendelea kwa manufaa mapana ya nchi. Ni dhaifu mno,ni dhaifu mno. Aondoke zake
Kwa nini aenguliwe?Za chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..
Vipi Mbowe na chadema?Za chini chini ni kwamba ndani ya ccm k
Kwa sasa kuna makundi kama matatu.
Kundi la kwanza
Hili kundi lina amini mama anatakiwa kupigiwa kura upya na wana ccm kwa sababu hakupitia mchakato wa kumpata mgombea wa chama na wala hakuchukua form. Hivyo linataka form zitolewe na mchakato ufanyike kama wa 2015.
Kundi la pili
Hili ni kundi ambalo linataka mama amalize muda wake wa kushikiria kiti cha Urais na aende zake akapumzike makunduchi kwa sababu kazi aliyo pewa ni kuivusha nchi baada ya kifo cha Rais Magufuli na siyo kubaki madarakani
Kundi la tatu
Lenyewe linaona mama kiti cha Urais kinampwaya kutokana kasi ndogo ya maendeleo na kuto kuwa na vision inayo eleweka. Pia lina lalamika baadhi ya mali za wananchi kuhusishwa na waarabu .
Kundi la Chawa
Hili ndio sisi ambao ni chawa wa mama tukiongozwa na Dr Nchimbi..
Sasa kitendawili cha 2025 bado hakieleweki kabisa ..