Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 1,353
- 3,060
Kitendo cha kuendelea kushikiria Katibu wao (TEC)wa zamani dk slaa kinyume na sheria kwa kesi ambayo ina dhamana ni kitendo cha ni kinyanyasaji kwanini wapo kimya..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahiiSoma kichwa cha Uzi vizuri Mkuu!
I hope ulitaka kuandika kwanini TEC wapo kimya
Mtu kanyimwa haki yake inakuaje Nongwa?Acha nongwa.
Huna sababu ya kulihusisha Baraza la Maaskofu (TEC) na Dr. Slaa. Kwa sababu hakuna ususiano wowote ule kati yao. Dr. Slaa ni raia tu kama ulivyo wewe, hivyo hana mahusiano/ maslahi yoyote yale na TEC.Mtu kanyimwa haki yake inakuaje Nongwa?
Dr Slaa ni Katibu mstaafu wa TEC, wewe guruguja unasemaje hawana uhusiano wakati amewai kuiongoza taasisi?Huna sababu ya kulihusisha Baraza la Maaskofu (TEC) na Dr. Slaa. Kwa sababu hakuna ususiano wowote ule kati yao. Dr. Slaa ni raia tu kama ulivyo wewe, hivyo hana mahusiano/ maslahi yoyote yale na TEC.
Haukumuona Mwenyekiti wa CHADEMA Mahakamani akimtetea Slaa?Wapo kimya chadema aliyowapa umaarufu tech wafanye nini na aliasi kwa kula tunda lilokatazwa ndio maana wamechuna!
Nimemuona lissu sio chadema!Haukumuona Mwenyekiti wa CHADEMA Mahakamani akimtetea Slaa?
tuwalaumu mawakili wetu, hata kama alinyimwa kinyume awali, mawakili wameleta jambo linalofanya ombi lake la dhamana lisishughulikiwe, na lingeshughulikiwa angepata dhamana.Kitendo cha kuendelea kushikiria Katibu wao (TEC)wa zamani dk slaa kinyume na sheria kwa kesi ambayo ina dhamana ni kitendo cha ni kinyanyasaji kwanini wapo kimya..View attachment 3229199
Usianze kukimbilia kwenye kutukana. Maana ndiyo kinga ya mtu mwenye akili fupi.Dr Slaa ni Katibu mstaafu wa TEC, wewe guruguja unasemaje hawana uhusiano wakati amewai kuiongoza taasisi?
Una taarifa kuwa Kanisa Katoliki ni Mwamba ulioko Baharini/Ziwani. Moja ya maana ni kwamba likipigwa na wimbi,hung'aa zaidi kuliko Kuchafuka?Kitendo cha kuendelea kushikiria Katibu wao (TEC)wa zamani dk slaa kinyume na sheria kwa kesi ambayo ina dhamana ni kitendo cha ni kinyanyasaji kwanini wapo kimya..View attachment 3229199
Huyu mzee maneno ya lawama ya Watanganyika wengi inamuandama!Kitendo cha kuendelea kushikiria Katibu wao (TEC)wa zamani dk slaa kinyume na sheria kwa kesi ambayo ina dhamana ni kitendo cha ni kinyanyasaji kwanini wapo kimya..View attachment 3229199