naija-lojja
Senior Member
- May 13, 2017
- 163
- 64
Tumewaza comment sawa, umeniwai kucomment tuu...Mapez yana run dunia
Aio kweli, mm nadhan maya ni mazingira ambayo tunatengenezewa na wenzetu wamagharib ili tusiweze kufikiria mambo ya msingMapez yana run dunia
Kidogo umeniconvice mkuuMapenzi ndio kila kitu mkuu.kosa mapenzi ya mama,mke,mume,au mtu yeyote wa karibu uone kama utakuwa sawa
TURN OR RUN??Love can turn the world!
Unataka kumaanisha kwamba mapenzi ndo kitu pekee kinachojulikana na kila mtu??ulitaka
Mtu areply asichokijuwa?una reply anachokijuwa?... mtu KUANDIKA NGOJA WAJE WENYWEWE inatosha?kuwa umechangia?au...maana mada zingine unazisoma unapita tu...si kila unachokiona humu kinakuhusu kuchangia...
unaniumiza mbavu ujueMapenzi simama nishuke
Sawa mkuuMapenzi yanaathiri kila mmoja kwa namna moja ama nyingine na unaweza changia kulingana na uzoefu wako. lakini si kila mmoja anaweza changia mada ya kilimo au ufugaji au elimu maana si kila mmoja ana uhusiano na hayo.