Kwanini timu ya Simba au Yanga FC moja isiwe timu ya Taifa

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Nashangaa sana tuna tumia pesa nyingi sana kuisafirisha hii timu kwenda kucheza huko nje ya nchi miaka yote hii wanafungwa tu ni kama vile gemu kwao ni tabu sana. kwanini serikali isiamue timu ya Simba au Yanga FC iwe timu ya taifa, hii timu inatupa taabu sana, samatta kiwango chake kama kinashuka yeye kucheza kwenye timu inayofungwa mara zote, wangeenda na Boeing ingekuwaje aibu tu. Afadhali wangekuwa wanafungwa magoli machache sana MATATU ni mengi mno.
 
Kwa sababu YANGA au SIMBA sio timu ya Taifa
 
Simba Au Yanga Zikiwa Timu Za Taifa Ndo Zitakuwa Na Uwezo Wa Kumfunga UGANDA?AU HATA ZAMBIA TU? Usimba Na Uyanga Au Mpira Wa Majukwaa Ndio Tatizo La Soka Letu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…