Kwanini TLS ya Mwabukusi imefilisika ghafla? Hela zimeenda wapi? Imeshindwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

Hawa nasikia walipigwa mkrwa mzito sana hata Matamko hawatoi tena fuatilia hata post za Mwambukusi utaona ziko tofauti now day.
When things falls apart their no long at ......
Kuna jambo lina mushkeri.
Wanaume wanakuja na kitu kizito unazimaka ghafla!
RIP TLS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…