Kwanini Treni ya EMU ina Vichwa Mbele na Nyuma?

Kwanini Treni ya EMU ina Vichwa Mbele na Nyuma?

K A B U R U

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
891
Reaction score
1,199
Wataalama wa mambo ya treni, mje kunijuza ni kwa nini treni ya mchongoko (EMU) inatumia vichwa viwili kimoja mbele na kingine nyuma? Kwangu naona ni gharama zinazoepukika ikiwa kuna uwezekano wa kutumia kichwa kimoja.
 
Wataalama wa mambo ya treni, mje kunijuza ni kwa nini treni ya mchongoko (EMU) inatumia vichwa viwili kimoja mbele na kingine nyuma? Kwangu naona ni gharama zinazoepukika ikiwa kuna uwezekano wa kutumia kichwa kimoja.
Umewahi kujiuliza kwanini wewe una vichwa viwili? (assumption wewe ni me)
 
Wataalama wa mambo ya treni, mje kunijuza ni kwa nini treni ya mchongoko (EMU) inatumia vichwa viwili kimoja mbele na kingine nyuma? Kwangu naona ni gharama zinazoepukika ikiwa kuna uwezekano wa kutumia kichwa kimoja.
EMU (Electric Multiple Unit) treni zina vichwa mbele na nyuma kwa sababu za ufanisi na urahisi wa usafiri. Mfumo huu unaruhusu treni kubadilisha mwelekeo bila kuhitaji kugeuza treni nzima, jambo linalopunguza muda wa kusubiri na kuongeza ufanisi wa operesheni. Pia, ikiwa na vichwa viwili inasaidia kuongeza nguvu ya kuvuta na usalama katika safari.
 
EMU (Electric Multiple Unit) treni zina vichwa mbele na nyuma kwa sababu za ufanisi na urahisi wa usafiri. Mfumo huu unaruhusu treni kubadilisha mwelekeo bila kuhitaji kugeuza treni nzima, jambo linalopunguza muda wa kusubiri na kuongeza ufanisi wa operesheni. Pia, ikiwa na vichwa viwili inasaidia kuongeza nguvu ya kuvuta na usalama katika safari.
Hii ya kuongeza ufanisi inaleta maana ikiwa kichwa cha mbele kinafanya pulling na cha nyuma kinafanya pushing. Kuhusu kuongeza usalama sijaelewa bado.
 
Back
Top Bottom