Kwanini Trump anaweza kusaidia kuwaweka madikteta wa Kiafrika madarakani

Kwanini Trump anaweza kusaidia kuwaweka madikteta wa Kiafrika madarakani

CalvinPower

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
1,634
Reaction score
1,001
Tukianzia kwa jirani zetu.

Huu ni muziki masikioni mwa viongozi wa Kiafrika waliochoshwa na kukumbushwa utaratibu wa kidemokrasia na nchi za Magharibi. Rais wa Uganda Yoweri Museveni alithibitisha hilo katika maoni yake aliyotoa.

"Marekani imepata mmoja wa marais bora kuwahi kutokea," Bw. Museveni alisema wakati wa ufunguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) katika mji mkuu wa Uganda wa Kampala.

"Nampenda Trump kwa sababu anawaambia Waafrika kwa uwazi. Waafrika wanahitaji kutatua matatizo yao, Waafrika ni dhaifu."

Upendeleo wa rais kwa Waafrika kutatua matatizo ya Kiafrika inaweza kuwa dhana ya Waafrika, lakini pia ni njia ya kuzuia Magharibi kuivamia Uganda.
 
Tukianzia kwa jirani zetu.
Huu ni muziki masikioni mwa viongozi wa Kiafrika waliochoshwa na kukumbushwa utaratibu wa kidemokrasia na nchi za Magharibi. Rais wa Uganda Yoweri Museveni alithibitisha hilo katika maoni yake aliyotoa.
"Marekani imepata mmoja wa marais bora kuwahi kutokea," Bw. Museveni alisema wakati wa ufunguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) katika mji mkuu wa Uganda wa Kampala.
"Nampenda Trump kwa sababu anawaambia Waafrika kwa uwazi. Waafrika wanahitaji kutatua matatizo yao, Waafrika ni dhaifu."

Upendeleo wa rais kwa Waafrika kutatua matatizo ya Kiafrika inaweza kuwa dhana ya Waafrika, lakini pia ni njia ya kuzuia Magharibi kuivamia Uganda.
Trump hayapendi madikteta ya kiafrika. Hawezi kamwe kusaidia kuyaweka madarakani mkuu.
 
1731413134667.png
 
Tukianzia kwa jirani zetu.
Huu ni muziki masikioni mwa viongozi wa Kiafrika waliochoshwa na kukumbushwa utaratibu wa kidemokrasia na nchi za Magharibi. Rais wa Uganda Yoweri Museveni alithibitisha hilo katika maoni yake aliyotoa.
"Marekani imepata mmoja wa marais bora kuwahi kutokea," Bw. Museveni alisema wakati wa ufunguzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) katika mji mkuu wa Uganda wa Kampala.
"Nampenda Trump kwa sababu anawaambia Waafrika kwa uwazi. Waafrika wanahitaji kutatua matatizo yao, Waafrika ni dhaifu."

Upendeleo wa rais kwa Waafrika kutatua matatizo ya Kiafrika inaweza kuwa dhana ya Waafrika, lakini pia ni njia ya kuzuia Magharibi kuivamia Uganda.
Trump hana mda na Africa. Priorities zake in "make America great again".
 
Back
Top Bottom