katiba mpya kabisa ni lazima,
>kwanza kwa sababu taifa limekosa mwelekeo, tunataka taifa jipya lenye mwelekeo mpya unaoendana na watu wa sasa, hususani vijana(tukumbuke katiba mpya ni kwa ajili ya vijana wa tanzania na watoto ambao ni taifa la kesho)
>pili ijaze utupu uliopo kwakuwa kwa sasa katiba haitamki ni vipi tutambana kiongozi mzembe na mlarushwa, pia katiba haiweki wazi kiongozi wa serekali anatkiwa awe na sifa gani(kielimu na kimaadili) na je akikiuka maadili hayo tumfanyaje?
>katiba ambayo itatamka wazi vipi muungano wa tz na zbr utakuwa, kwa nini tangu 1961 marais wa tz 3 wametoka bara na 1 ndio katoka zanzibar?
>sababu ni nyingi sana na zinaendelea
tanzania mpya katiba mpya,
kanyaga twende.