johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nembo ya CCM ni Nyundo na Jembe!CCM ni Twiga wanakula ya huko huko juu wakishiba wanatudondoshea mbolea(Dungs) ya miradi ya kutuzuga ama ambayo kwa % kubwa wamepiga.
[emoji1787]CCM ni Twiga wanakula ya huko huko juu wakishiba wanatudondoshea mbolea(Dungs) ya miradi ya kutuzuga ama ambayo kwa % kubwa wamepiga.
Ndio maana hatufanikiwi.Nembo ya CCM ni Nyundo na Jembe!
😄😄 Nyundo zama hizi!Ndio maana hatufanikiwi.
Wewe si ni mnyonge wewe Kwa mujibu wa shujaa wenu uchwara au?Najua lilikuwa ni Chaguo la kisiasa likiwa na sababu zake
Twiga kiasili ni Mnyama mpole, mnyonge asiyependa shida na Chakula chake ni majani laini
Twiga hawindi ila Nyakati fulani anawindwa na wanyama " wakali sana" like Simba, Chui na Kundi la " Mbwa mwitu"
Kwanini tulimchagua Twiga?
Kesho utakuwepo Temeke🤣🤣!Wewe si ni mnyonge wewe Kwa mujibu wa shujaa wenu uchwara au?
Kufanya Nini? Kuna nini huko Temeke? Huwa sitoki kilingeni Rukwa Ziwani bila sababu za msingiKesho utakuwepo Temeke🤣🤣!