Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,428
Mko poa?
Wakuu kwanini wanaume tulilikimbia hili vazi [emoji16]
Unakumbuka usumbufu au changamoto yoyote ya hili vazi?
Pia, kinadada underwear (anda) mlikimbia nini hapa, kwanini msilivae kwenye madera yenu mfiche chupi hizo. Nakumbuka mlikuwa makini kuhakikisha anda haichungulii chini ya sketi[emoji16]
Ya kale dhahabu, turudiie mavazi yetu pendwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Au ndio hii nahau ilikosewa?
Wakuu kwanini wanaume tulilikimbia hili vazi [emoji16]
Unakumbuka usumbufu au changamoto yoyote ya hili vazi?
Pia, kinadada underwear (anda) mlikimbia nini hapa, kwanini msilivae kwenye madera yenu mfiche chupi hizo. Nakumbuka mlikuwa makini kuhakikisha anda haichungulii chini ya sketi[emoji16]
Ya kale dhahabu, turudiie mavazi yetu pendwa[emoji16][emoji16][emoji16]
Au ndio hii nahau ilikosewa?