Kwanini Tume zilizoundwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hazina mrejesho?

Kwanini Tume zilizoundwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa hazina mrejesho?

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya vyombo vya habari kwa mbwembwe kuwa watatoa ripoti ndan ya siku kadhaa lakn hugeuka hekaya tupu.

Leo tumzungumzie ndugu yetu kutoka pale Lindi, Ruangwa bwana Kassim Majaliwa kwa cheo n mbunge na wazir mkuu wa jamhuri ya watanzania huyu bwana aliunda tume kadhaa.

1. Mlipuko wa gari la mafuta pale morogoro msavu aliunda tume lakn wapi had leo hii kimyaaa miaka na mikaka imepita

2. Moto soko la kariakoo napo aliunda tume lakn had leo kimyaaa

Kubwa zaid pale alipotuambia Watanzania Rais wetu magufuli mzima Tena kwa kejeli akiwa ndani ya msikiti siku chache baadae moendwa akaaga dunia.

Juz kat akiwa bungeni alikanusha hakuna mapigano Ngorongoro lakn mkuu wake wa mkoa akatuambia Kuna mauaji yametokea.

Ndugu Watanzania, mm binafsi nakuwa na mashaka na huyu mteule hasa kauli zake Kama zina utata Sana.
 
Kuna lile la mauaji ya mfanya biashara wa madini Mtwara pia aliunda tume ichunguze mpaka leo hakuna majibu
 
IMG_20220628_212521.jpg
 
Huyo anajulikana ni muongo sana, alidanganya akiwa msikitini bila aibu, kacheo kamemmaliza akili kabisa na vidharau vyake vya kiporipori
 
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya vyombo vya habari kwa mbwembwe kuwa watatoa ripoti ndan ya siku kadhaa lakn hugeuka hekaya tupu.

Leo tumzungumzie ndugu yetu kutoka pale Lindi, Ruangwa bwana Kassim Majaliwa kwa cheo n mbunge na wazir mkuu wa jamhuri ya watanzania huyu bwana aliunda tume kadhaa.

1. Mlipuko wa gari la mafuta pale morogoro msavu aliunda tume lakn wapi had leo hii kimyaaa miaka na mikaka imepita

2. Moto soko la kariakoo napo aliunda tume lakn had leo kimyaaa

Kubwa zaid pale alipotuambia Watanzania Rais wetu magufuli mzima Tena kwa kejeli akiwa ndani ya msikiti siku chache baadae moendwa akaaga dunia.

Juz kat akiwa bungeni alikanusha hakuna mapigano Ngorongoro lakn mkuu wake wa mkoa akatuambia Kuna mauaji yametokea.

Ndugu Watanzania, mm binafsi nakuwa na mashaka na huyu mteule hasa kauli zake Kama zina utata Sana.
🤣🤣🤣ngoja kwanza ncheke mie
 
Mfumo wa nchi yetu kuna vyeo vingi hadi wengine wanakosa kazi za kufanya.

Rais
Makamu wa Rais
Katibu mkuu Kiongozi
Waziri mkuu

Mkuu wa mkoa
Katibu tawala mkoa
Mkuu wa wilaya
Katibu tawala wilaya
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya
Meya/Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya

Wengine wanakosa kazi za kufanya, hivyo wanachofanya ni kutoa matamko ya kisiasa waonekane nao wamo jikoni hivyo kupoteza credibility yao.

Shida sio waziri mkuu. Tatizo muundo wa utawala. Marekebisho ya katiba yanahitajika, tufutilie mbali baadhi ya vyeo visivyo na tija.
 
Hivi huyu Kassim si ndiyo aliwahi kupiga viboko walimu kule Kagera?Au napoteza kumbukumbu?Asidhani nimesahau sana!
 
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya vyombo vya habari kwa mbwembwe kuwa watatoa ripoti ndan ya siku kadhaa lakn hugeuka hekaya tupu.

Leo tumzungumzie ndugu yetu kutoka pale Lindi, Ruangwa bwana Kassim Majaliwa kwa cheo n mbunge na wazir mkuu wa jamhuri ya watanzania huyu bwana aliunda tume kadhaa.

1. Mlipuko wa gari la mafuta pale morogoro msavu aliunda tume lakn wapi had leo hii kimyaaa miaka na mikaka imepita

2. Moto soko la kariakoo napo aliunda tume lakn had leo kimyaaa

Kubwa zaid pale alipotuambia Watanzania Rais wetu magufuli mzima Tena kwa kejeli akiwa ndani ya msikiti siku chache baadae moendwa akaaga dunia.

Juz kat akiwa bungeni alikanusha hakuna mapigano Ngorongoro lakn mkuu wake wa mkoa akatuambia Kuna mauaji yametokea.

Ndugu Watanzania, mm binafsi nakuwa na mashaka na huyu mteule hasa kauli zake Kama zina utata Sana.
Intelijensia inaonesha kuwa:
"He is the worst prime minister ever".
 
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya vyombo vya habari kwa mbwembwe kuwa watatoa ripoti ndan ya siku kadhaa lakn hugeuka hekaya tupu.

Leo tumzungumzie ndugu yetu kutoka pale Lindi, Ruangwa bwana Kassim Majaliwa kwa cheo n mbunge na wazir mkuu wa jamhuri ya watanzania huyu bwana aliunda tume kadhaa.

1. Mlipuko wa gari la mafuta pale morogoro msavu aliunda tume lakn wapi had leo hii kimyaaa miaka na mikaka imepita

2. Moto soko la kariakoo napo aliunda tume lakn had leo kimyaaa

Kubwa zaid pale alipotuambia Watanzania Rais wetu magufuli mzima Tena kwa kejeli akiwa ndani ya msikiti siku chache baadae moendwa akaaga dunia.

Juz kat akiwa bungeni alikanusha hakuna mapigano Ngorongoro lakn mkuu wake wa mkoa akatuambia Kuna mauaji yametokea.

Ndugu Watanzania, mm binafsi nakuwa na mashaka na huyu mteule hasa kauli zake Kama zina utata Sana.

Yuko kazini!
Mengine siyo maamuzi yake
 
Leo nimejikuta nakumbuka mambo mbalaimbali tuliyopitia Kama taifa kwa nyakat tofauti ambayo yalizua simanzi na taharuki lakini yakapita hivihvi bila kupewa mrejesho ingawa wahusika hukaa mbele ya vyombo vya habari kwa mbwembwe kuwa watatoa ripoti ndan ya siku kadhaa lakn hugeuka hekaya tupu.

Leo tumzungumzie ndugu yetu kutoka pale Lindi, Ruangwa bwana Kassim Majaliwa kwa cheo n mbunge na wazir mkuu wa jamhuri ya watanzania huyu bwana aliunda tume kadhaa.

1. Mlipuko wa gari la mafuta pale morogoro msavu aliunda tume lakn wapi had leo hii kimyaaa miaka na mikaka imepita

2. Moto soko la kariakoo napo aliunda tume lakn had leo kimyaaa

Kubwa zaid pale alipotuambia Watanzania Rais wetu magufuli mzima Tena kwa kejeli akiwa ndani ya msikiti siku chache baadae moendwa akaaga dunia.

Juz kat akiwa bungeni alikanusha hakuna mapigano Ngorongoro lakn mkuu wake wa mkoa akatuambia Kuna mauaji yametokea.

Ndugu Watanzania, mm binafsi nakuwa na mashaka na huyu mteule hasa kauli zake Kama zina utata Sana.
Inahitaji kuwa na akili za maiti kumuamini Kiswaswadu.
 
Back
Top Bottom