Kwanini tumekua wa kwanza kulaumu juu ya matatizo yetu kuliko kutafuta suluhisho?

Kwanini tumekua wa kwanza kulaumu juu ya matatizo yetu kuliko kutafuta suluhisho?

ThisisDenis

Senior Member
Joined
Apr 14, 2013
Posts
162
Reaction score
139
Wengi wetu tumekua wa kwanza kutafuta lawama kuliko kuangalia suluhisho, hii inatufanya kushindwa kuendelea kwa sababu ya kubaki na kinyongo. Tupambane tuachane na lawama zisizo za msingi.
 
Back
Top Bottom