Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huu ni ufukunyuku wa mambo ya watu 🐒Aisee! Watu wasiri sana, kumbe kuna Baiskeli za kuendesha kitandani na hamtuambii?
View attachment 2886981
Hiyo inashikwa halafu,vidole vya miguu vinachomekwa mwisho wa kitanda.Kazi inaendelea.Hujawahi kuusikia wimbo una maneno..."simika mzizi...ntentemente"...?Sasa hapo baiskeli iko wapi?
Makungwi mmeingia kwa vibweweHiyo inashikwa halafu,vidole vya miguu vinachomekwa mwisho wa kitanda.Kazi inaendelea.Hujawahi kuusikia wimbo una maneno..."simika mzizi...ntentemente"...?
Wanasema breki Pu...Mbona haina breki😂
😁 bado sijajua vingi sana.Hiyo inashikwa halafu,vidole vya miguu vinachomekwa mwisho wa kitanda.Kazi inaendelea.Hujawahi kuusikia wimbo una maneno..."simika mzizi...ntentemente"...?
apo sina maoni 🤣Anataka kuungwa kwa group.
BICHWA KOMWE amkaribishe😂
Sio baskeliHahaha
Si unaona steering ya Baiskeli hapo?
Kwenye dhambi Tanzania tu wabunifu sanaaJamaa alikutana na changamoto ya kukosa mbao za kujishikiza akiwa anakula mzigo. Akafanya ubunifu
Uyatoe wapi wakati mpira umekabwa na Mwamnyeto😂apo sina maoni 🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 hi kali ya sikuHiyo inashikwa halafu,vidole vya miguu vinachomekwa mwisho wa kitanda.Kazi inaendelea.Hujawahi kuusikia wimbo una maneno..."simika mzizi...ntentemente"...?