Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani mkulima,fundi ujenzi,mpasua mbao asile asubuhi si Atakufa Hakika!Ukimsikiliza na kufuata maelekezo ya Janabi umekwisha.Kwani ukila ugali na nyama asubuhi utakufa?Aache makatazo mengi kama mganga wa kienyeji.
Hebu jaribu basi usile. Lala bila kula na ukiamka usile kama hatujakukuta zahanati ya jirani umetundikiwa drip ya Dextrose 10%.Mtu unakula ugali mkubwa na nyama usiku kisha unalala ukiamka tena asubuhi unakula mlo mwingine, hii ni sawa kweli au Dr. Janabi yuko sahihi?
View attachment 3119542
Aliwahi kuleta hoja kwamba watu wasinywe juisi ya matunda halisi, mfano machungwa.Ukimsikiliza na kufuata maelekezo ya Janabi umekwisha.Kwani ukila ugali na nyama asubuhi utakufa?Aache makatazo mengi kama mganga wa kienyeji.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Inategemeana na kazi unayofanya, sijui ushauri wake huwa unamlenga nani hasa
Aliokwambia kila mtu analala usiku nani? Wengine wanapiga shift viunoni kwa mishangazi ndio ajira zao wengine wako lindo usiku. Sio kila mtu akila usiku analala tuMtu unakula ugali mkubwa na nyama usiku kisha unalala ukiamka tena asubuhi unakula mlo mwingine, hii ni sawa kweli au Dr. Janabi yuko sahihi?
View attachment 3119542
Watakuwa mabosi wa viyoyozi,Fundi Maiko hayawahusu!Inategemeana na kazi unayofanya, sijui ushauri wake huwa unamlenga nani hasa
Na ukiendelea kula ugali usiku halafu asubuhi unaamkia chai, supu au mtori chapati kiribatumbo hakitakuacha na mishavu yako itaendelea kuwa mikubwa kama unapuliza moto.Hebu jaribu basi usile. Lala bila kula na ukiamka usile kama hatujakukuta zahanati ya jirani umetundikiwa drip ya Dextrose 10%.
Elimu ya Janabi ni nyepesi sana, huenda wabongo wengi wana vichwa vizito tu.Aliwahi kuleta hoja kwamba watu wasinywe juisi ya matunda halisi, mfano machungwa.
Wengi sana tulicheka na kusema kwanini na wakati juisi ya matunda halisi ndio sahihi na ina vitamin original?
Baadaye alivyoeleza, wote tukabaki tunakubaliana naye....
Alieleza kwamba, ili kupata halisi walau inayojaa glasi moja, unapaswa kukamua machungwa si chini ya matano.... Sasa ukinywa glasi mbili asubuhi, mbili mchana na mbili jioni, jumla sita maana yake siku moja unakuwa umekula takribani machungwa 30 😁
Sasa baada ya mwezi si unakuwa unekula shamba zima? 😁 Na wakati mwili unahitaji nusu kipande tu cha chungwa!
Ukifanya shift viunoni kwa mishangazi wala hutumii nguvu nyingi sana.Aliokwambia kila mtu analala usiku nani? Wengine wanapiga shift viunoni kwa mishangazi ndio ajira zao wengine wako lindo usiku. Sio kila mtu akila usiku analala tu
Bao 5 unaona ni kazi nyepesi? Kama kutoa bao moja nishati yake ni sawa na kukimbia kilometre 1 je bao 5 itakuwaje?Ukifanya shift viunoni kwa mishangazi wala hutumii nguvu nyingi sana.