sangujoseph
Senior Member
- Nov 30, 2015
- 164
- 183
By Sangu Joseph
Siku kadhaa Nyuma nilipata muda wa kutafakari kwa kina kuhusiana na Mchekeshaji Joti, nadhani kama Heshima anayopewa siyo anayostahili hapa kwetu Tanzania.
Mimi kwangu binafsi @jotiofficial ni Moja ya watu ambao wanaifanya game ya Comedy itazamwe sana Bongo, na sababu kubwa ni ubunifu wake, Joti ndiye Msanii pekee wa Comedy ambaye anaweza kucheza character zaidi ya 3 tofauti na zote ukamuinjoy yeye na kipaji chake
Joti inawezekana anaonekana wa kawaidai Sana labda Kwa sababu yeye ni mtu wa kazi na vitendo tofauti na Comedians wengine, Kwa sababu nilitafuta mahojiano ya Joti kwenye YouTube sijaona hata moja zaidi akihojiwa na Mwandishi wake #MwandishiNaNishai (Kama Una mahojiano ya Joti nitumie kuna zawadi)
Sijui nini tatizo la yeye kutokua na mahojiano yeyote je sijui hapendi, anaona anagawa Content kwengine, au wanaohoji hawajaona umuhimu wa kumuhoji Joti, walau atoe inspiration yake Kwa Vijana.
Hawa wakina @Dullvani na @JayMondy_ ukija kiundani unagundua ni Wakina Joti wanaongea Sana.
Inawezekana tukawa tunajisahau kuhusu Joti, Ila ngoja niwakumbushe huyu Jamaa alianzisha Style ya kusbtua #JotiStyle kila mtoto na watu wazima waliifanya nakumbuka mpaka kuna Ngoma moja ya CPwaa aliimba kuhusu style ya Joti, Joti huyu alizungumza kizenji kila mtu akawa anajiita Hammy J, alikuja na style ya kuweka Mwanya kwenye jino bado watu walimuiga, Joti huyu huyu ni miongoni Comedian waliopata Endosment nyingi sio Endosment za Nguo zile za Kibabe za kifadha (GSM, Tigo, Assas, DSTV, NK)
Tusimuonee wala Tusijiisahaulishe niwakumbushe Joti huyuhuyu sasa anawaibua wakina Kipnde na wenzake.
Joti anastahili heshima isije ikatokea amekwenda ndiyo tuseme Pengo lake halitazibika.
#KijanaMzalendo #IloveTZ #NaniMwanaume
Siku kadhaa Nyuma nilipata muda wa kutafakari kwa kina kuhusiana na Mchekeshaji Joti, nadhani kama Heshima anayopewa siyo anayostahili hapa kwetu Tanzania.
Mimi kwangu binafsi @jotiofficial ni Moja ya watu ambao wanaifanya game ya Comedy itazamwe sana Bongo, na sababu kubwa ni ubunifu wake, Joti ndiye Msanii pekee wa Comedy ambaye anaweza kucheza character zaidi ya 3 tofauti na zote ukamuinjoy yeye na kipaji chake
Joti inawezekana anaonekana wa kawaidai Sana labda Kwa sababu yeye ni mtu wa kazi na vitendo tofauti na Comedians wengine, Kwa sababu nilitafuta mahojiano ya Joti kwenye YouTube sijaona hata moja zaidi akihojiwa na Mwandishi wake #MwandishiNaNishai (Kama Una mahojiano ya Joti nitumie kuna zawadi)
Sijui nini tatizo la yeye kutokua na mahojiano yeyote je sijui hapendi, anaona anagawa Content kwengine, au wanaohoji hawajaona umuhimu wa kumuhoji Joti, walau atoe inspiration yake Kwa Vijana.
Hawa wakina @Dullvani na @JayMondy_ ukija kiundani unagundua ni Wakina Joti wanaongea Sana.
Inawezekana tukawa tunajisahau kuhusu Joti, Ila ngoja niwakumbushe huyu Jamaa alianzisha Style ya kusbtua #JotiStyle kila mtoto na watu wazima waliifanya nakumbuka mpaka kuna Ngoma moja ya CPwaa aliimba kuhusu style ya Joti, Joti huyu alizungumza kizenji kila mtu akawa anajiita Hammy J, alikuja na style ya kuweka Mwanya kwenye jino bado watu walimuiga, Joti huyu huyu ni miongoni Comedian waliopata Endosment nyingi sio Endosment za Nguo zile za Kibabe za kifadha (GSM, Tigo, Assas, DSTV, NK)
Tusimuonee wala Tusijiisahaulishe niwakumbushe Joti huyuhuyu sasa anawaibua wakina Kipnde na wenzake.
Joti anastahili heshima isije ikatokea amekwenda ndiyo tuseme Pengo lake halitazibika.
#KijanaMzalendo #IloveTZ #NaniMwanaume